Recent content by luvyandi

  1. L

    John Bolton, mgomvi wa Trump na mshauri wa masuala ya ulinzi asema Israel imeshindwa vita

    kama israel kapigwa na hamas bas Tanzania tunampiga kwa wiki Israel Tena anachakaa
  2. L

    Makabidhiano ya mateka: Israel kuwaacha mateka 39 wa Palestina kwa watekaji wa Israel huko Gaza

    Kumbe hamas n wanaume hakika. Israel mbwembwe kibao halafu wanaingia kwenye tundu bovu kabisa LA hamas. Kwa Hali hii hata Rwanda anaeza mpiga .....
  3. L

    Ubabe wa Israel Kijeshi

    Ila mwaka huu mashabiki WA Israel tumepata aibu ya mwaka. Ngoja tuone baada ya siku hizo nne walizotoa. Maybe Kuna kitu behind the scene
  4. L

    Papa Francis hapaswi kukosolewa dhidi ya uamuzi wake juu ya LGBTQ

    Kiukwel papa amaeferi hata kama tutampaka mafuta kumsafisha kiasi Gani,ametukwaza kabisa I'm
  5. L

    ECOWAS yaamuru kupeleka Jeshi Niger

    Well spoken wengi tunaishia kulaumu mapinduzi bila kuangalia chanzo n nn. Mfaransa kapoteza ulaji wake ndio maana anailazimisha ECOWAS kupeleka jeshi la waafrika kwenda kuwapiga waafrika wenzao kwa manufaa yao
  6. L

    Neema Kipanya: Masoud Kipanya ana Watoto 15 na Wake 4

    Kama Maisha kwako n magumu yataendelea kuwa magumu tu. Maana Kuna wale ambao Hawana mtoto hata mmoja lakin Bado hawawezi kupata hata uhakika wa huo mlo mmoja. Kipanya we zaa bwana
Back
Top Bottom