Well spoken wengi tunaishia kulaumu mapinduzi bila kuangalia chanzo n nn. Mfaransa kapoteza ulaji wake ndio maana anailazimisha ECOWAS kupeleka jeshi la waafrika kwenda kuwapiga waafrika wenzao kwa manufaa yao
Kama Maisha kwako n magumu yataendelea kuwa magumu tu. Maana Kuna wale ambao Hawana mtoto hata mmoja lakin Bado hawawezi kupata hata uhakika wa huo mlo mmoja. Kipanya we zaa bwana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.