Cha kwanza ondoka,pili nenda mahakama ya mwanzo fungua kesi ya kudai talaka,atapelekewa wito wa mahakama samansi na mahakama asipo kuja kesi itasikilizwa upande mmoja na hukumu itatolewa Hapo utakuwa huru kuolewa au kuwa single mother,Ila kuolewa ni Bora zaidi umri wako unaruhusu
I'm single...
Kama Job alifunga ndoa kanisani na Stela,na hakuwahi kumtakaki kwa uasherati ambao dini ndio inatambua sababu pekee ya kuvunja ndoa,Hapo bi Fatma ni kimada hana chake,Kama angekuwa amezaa nae basi angekula kupitia mtoto maana kwenye mirathi watoto wote ni sawa
Kama ilivyo kuwa Brazil Lula alishinda uraisi akiwa gerezani na kwa Lisu itakuwa hivyo ndio maana wanaikaba CHADEMA kila Kona,Lisu mhaini,mashahidi wa kificho,kesi ya ndani iliyo funguliwa na wazanzibari,mahakama kusimamisha shughuli zote za chama
Chadema bado Ina nguvu wajaribu tu kuruhusu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.