Ni kweli shujaa kalala,poleni sana wana Shybush wenzangu maana leo nilikuwepo kule Kanisani Mbweni wakati wa kuaga,inasikitisha sana maana utafikiri ataamka.Tumepoteza jembe maana kama mnakumbuka ndiye aliyechukua vyeti vya ubingwa wa Adv.Math na Physics pale Shybush mwaka 2002.Poleni pia walimu...
Duh! sawa wadau mna mawazo mazuri sana,changamoto ni hii,watu wanaofanya vizuri na wanaotesa katika nchi hii,si wale waliofaulu na GPA kuuubwa,ni wale wa kawaida tu,mpaka wale wenye gentlemen wapo wanatesa.Musoma revolution iko kazini,tu-fight tu,maisha popote.ukitafuta haki na usawa utaugua...
Nimependa sana comment zenu,jamaa analeta matani mbele ya professional za watu,ualimu siyo sawa na house girl anakwenda bila kujua atalipwaje akifika huko anapokea tu kutoka kwa bosi wake,take care men!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.