Tunaomba kuwe na orodha ya viwete waliopona ili tuwachangie fedha za mitaji.Kama kweli wanapona sio changa la macho basi ni wazi kuwa ombaomba watapungua.
Unapokea magari kutoka kwenye majukwaa au kwa kufanya kazi?
Mgogo yuko sahihi,tufanye kazi.
Kama kuombewa,basi Sala na ibada zetu zilenge kubariki kazi za mikono yetu ili zizae matunda kama magari,nyumba n.k.
Kama uko Dar au moro,panda gari hadi Singida mjini.Telemka singida Misuna stendi,panda gari za kwenda Bariadi kupitia meatu Mjini.
Kama uko Arusha au Tanga,panda gari hadi katesh.Pale kuna gari ya moja kwa moja kwenda Meatu kupitia Haydom na Nduguti.
Kama uko nyanda za juu kusini,panda gari...
Tuweni makini sana,kuna baadhi ya wafanyabiashara wanakutapeli kisha wanakufundisha kutapeli wenzio bila kujijua na bila kupata faida yoyote.
Mwisho mnakutana wote street mkiwa masikini kabisa.
Inawezekana anafanya Biashara ya guest house,na ameona vijana wanaokwenda pale short time ni wengi.
Lisemwalo lipo,kama halikuhusu tambua linamuhusu jirani yako.
Cha muhimu fuata ramani ya maisha yako
Baba wa mtoto ajulikana kwa mama tu.
Wapo watoto wengi wamepewa baba ambao sio wazazi wao hali bali waliosex mara moja na mama.
Wapo ambao baba zao halisi waliwakataa ama kwa kuhisi wanasingiziwa, ama kwa kuogopa msala kwa bi mkubwa, lakini baba wengine walibambikiziwa na watakubali.
Huyo...
Message delivered, mtumishi yeyote awe wa serikali au sekta yoyote anatakiwa aanzishe na kusimamia miradi yake nje ya mshahara anaopewa na bosi wake.
Baada ya kustaafu wengine maisha hubadilika na kuwa omba omba, watapeli, wa kudoea vya watu n. k ili tu siku ipite.
KUMBUKA KUWA:ULI SAIN IN na...
Waendesha boda boda wengi hawako makini barabarani.
Jeshi la polisi limejitahidi sana kutoa mafunzo na kusimama wima barabarani siku 7 za wiki ili kupunguza ajili, boda boda bado hawajitambui.
Ukiwa barabarani kuwa makini sana na hawa jamaa. Huwa wanaweza 1000tu na kasahau usalama wao na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.