Kiswahili cha Kenya kina mchanganyiko wa kiingereza.Yaani wewe unaona wivu mtu kutoka Kenya tena account ya Kilifi? Na kwa taarifa yako huyu ni wa hapa hapa tuu hana jipya kiswahi chake tuu anaonekana labda alienda huko Kilifi lockdown imemkuta huko so anaarudi huku akiweka vituo.
Kweli wanatuoneaga sana wale mwezi jana tu niliķuwa natoka Taveta kwenda Machakos.Nyie tukija kwenu tunaulizwa "iko wap yako?" Na kama huna makarao wako na ww mpk utoe kitu kidogo,hapo hup undugu uko wap?
Si kweli!!!Watu wa kilifi kiswahili hakitupigi chenga that's why
Au ya ndege😂😂Ugali na picha ya kuku mkuu??
Ilala,Kinondoni na Temeke hiyo ndio mitaa yangu. Karibu mkuu.Asante sana unapatikana maeneo gani
Ila wewe ni mkenya ako nafeki juu uko mtizedi😂😂Hahaha