Septemba 10,2024 Mahakama Kuu ilitoa uamuzi wa kuwarudisha kazini Askari watatu kama taarifa ilivyojieleza kwenye mtandao wa Mahakama ujulikanao kama TanzLii (Home - TanzLII) ambapo majina ya askari hao na sababu ya uamuzi uliotolewa vyote vimebainishwa katika taarifa hiyo.
Baada ya uamuzi...
Mbona hapa kama moja haikai, mbili haikai pia. Huku taarifa zinadai M23 walishaiteka Goma tangu mapema juzi, huku huyu CDF wa Kwa Zulu anasema M23 wamezuiwa kusonga mbele. Daah nachanganyikiwa aisee🤔🤔🤔
Hapa kuna mambo kadhaa ya kutafakari;
1. Kwanza hakuna mhalifu mjinga ambaye atafanya uhalifu wake huko kisha aache ushahidi wa wazi kama huo. Yaani mtu atoe tiketi mfuko wa suruali ama kwenye begi kisha aidondoshe mahali hapo ni ngumu hivo kiupelelezi inaonekana kabisa ni mbinu ya wahalifu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.