Recent content by lushoto

  1. L

    Bungeni: Mwigulu achafua upepo, Lissu atolewa nje ya bunge, agoma! Bunge lakatishwa kabla ya muda...

    naombeni msaada wenu. mimi nimeangalia bunge kuanzia muda huu wa jioni. hivi kwa maoni yako ya kweli kabisa kati ya wazungumzaji hawa. tundu lisu, lage,mnyika,nchemba nani kaongea mambo yanayo lenga wananchi na maendeleo ya nchi yetu?
  2. L

    Bungeni: Mwigulu achafua upepo, Lissu atolewa nje ya bunge, agoma! Bunge lakatishwa kabla ya muda...

    kwakweli kwa mtu anaye elewa na mkweli kabisa toka moyoni mwake. hapa Ndugai alipofika panaogopesha. kama kweli anaweza kufanya uhaini wa democrasia namna hii kweli nimeamini siasa sio kitu cha kufanya. Hivi kwelo ndugu zangu mnao ipenda Tanzania Tindu Lisu katenda kosa gani? Kaomba utaratibu...
  3. L

    Kasi ya Mnyika yamtisha JK

    hivi kikwete mpaka mnyika andamane ndio ajue mji hakuna Dar? huyu kweli anatatizo la kutokujua au kufahamu. kama hakuna mnyika hakuna maji?
  4. L

    Tamko la Maaskofu kuhusu uchinjaji na hali ya mwelekeo wa kisiasa nchini

    siku zote kiongozi asiyekuwa na ridha machoni pa Mungu huwa hapati kibali cha kutawala na kuongoza watu. Akitawala kwa mabavu kama huyu wa sasa nchi hiyo itajaa laana kwani anao watawala watajaa manunguniko na taabu zisizo isha. Ndugu zangu, maandiko yanasema".... ole wake aijuaye kweli na...
  5. L

    Lwakatare aachiwa huru kisha kukamatwa hapo hapo kwa kosa lingine

    yaliyo mkuta Lwakatale yanaweza kukuta hata wewe. kumbuka haya ni mateso ya duniani. siku inakuja mtesaji atateswa pia. tuvumilie. lakini kumbukeni dhahabu inathamani sana lakini haiwezi kuwa dhahabu bila kupita kwenye moto mkali. hii ndivyo inavyo tokea kwa chadema
  6. L

    Lwakatare aachiwa huru kisha kukamatwa hapo hapo kwa kosa lingine

    wakuu naombeni msaada wenu kwenye hili. niliwahi kusikia toka kwa bibi yangu kuwa ili kosa liwe kosa mbele ya sheria lazima liwe na vigezo vyake na viwe vimetimizwa kisheria yaani. criminal offence must have these elements 1.intention to commete an offence 2.the act or ommission must be unlawful...
  7. L

    Lwakatare aachiwa huru kisha kukamatwa hapo hapo kwa kosa lingine

    tunasubiri kupata maendeleo ya kesi mpya ya lwakatale wa ungwana
  8. L

    Lwakatare aachiwa huru kisha kukamatwa hapo hapo kwa kosa lingine

    wakuu nimelazimika ku yasema haya wakati huu kukiwa na giza nene mbele yetu. kwa waumini wa kikristi . Yesu aliwaambia wanafunzi wake ".........mkiyaona haya yanatokea mjue ufalme wa Mungu umekaria...." Ndugu zangu wa Tanzania hasa wale ambao tuna taabika na mfumo mbovu sana wa maisha nchini ...
  9. L

    Lwakatare aachiwa huru kisha kukamatwa hapo hapo kwa kosa lingine

    amekamatwa na mapolisi kwa kosa gani tena? naomba tuambieni ili tujifunze
  10. L

    Kashfa ya kigogo Ikulu yaibuka upya

    Nafikiri wakati wa kulalama umekwisha naomba tuchukue hatu. Naamini kuna watu wengi mbadala wa hawa waliopo sasa serikalini. Niwaombe waTanzania wenzangu chondechonde tujiandikishe kwa wingi na tukapige kura kwa wingi tuweke serikali mpya madarakan wakati ukifika. naomba tuhamasishane popote...
Back
Top Bottom