Recent content by lusekelo Andrew

  1. lusekelo Andrew

    Lowassa anaumwa Parkinson's disease, urais atauwezaje?

    Kwa bahati mbaya tunaweza kukosa nafasi ya kuona "ukijiandaa na uchaguzi mwingine", badala yake "ukitangulia" wewe.
  2. lusekelo Andrew

    Dr. Kimei wa CRDB: Kuporomoka kwa shilingi kuna faida kubwa kwa Watanzania

    Sio kweli. kwani importers wana import kwa shiling au Dollar? tuna import kwa dollar sikuzote, sasa kama dollar imepanda sana (yani shilingi ipo chini) ina maana utatumia shilingi nyingi sana kuzibadili kua dola ili u-import bidhaa. Mfano: kama dola1 ilikua =1000Tsh na mtu anae import anaagiza...
  3. lusekelo Andrew

    Nimefanya Maamuzi Sahihi na Makini Niliyoahidi Takribani Saa 72 zilizopita, Naelekea ....

    Great Nimependa sana. Nakuunga mkono. naamini Unaweza kabisa Ben.
  4. lusekelo Andrew

    Kazi za Kiongozi Mkuu wa ACT-Tanzania

    Chama cha "kijamaa" mtu mmoja anakua taswira na nuru ya chama?? au ni wanachama wote kwa ujamaa wanatengeneza taswira ya chama! Tunapaswa kukomaa kisiasa, umaarufu pekee hautoshi mtu kua Kiongozi, kiongozi bora.
  5. lusekelo Andrew

    Kazi za Kiongozi Mkuu wa ACT-Tanzania

    Chama cha "kijamaa" mtu mmoja anakua taswira na nuru ya chama?? au ni wanachama wote kwa ujamaa wanatengeneza taswira ya chama! Tunapaswa kukomaa kisiasa, umaarufu pekee hautoshi mtu kua Kiongozi, kiongozi bora.
  6. lusekelo Andrew

    Aina ya Muungano: CCM yatoa waraka kusisitiza msimamo wake ni Serikali Mbili!

    sehemu ya waraka aliotoa Nape.. " CCM inamasilahi makubwa na mapana na Muungano huu kama waasisi pengine kuliko taasisi nyingi ndani na nje ya nchi yetu." kumbe ni kwa maslai yao ccm, sasa tunajadili katiba kwa maslai ya ccm au Taifa?. This is another Thinking immaturity of our leaders
  7. lusekelo Andrew

    CHADEMA ni Zitto, Msiotaka acheni!

    Strong Mind people, discuss Issues, But week minded people discuss people. Hii ndio namna ya kufikiri kwetu. Taasisi iwe mtu!! Endelea kupigia debe hoja zilizopitwa, leo watu wanajadili jambo nyeti kwa Taifa, Katiba ya Nchi. wewe akili zako bado unajadili zitto (mtu). ukipevuka utabadilika...
  8. lusekelo Andrew

    Upofu wa kufikiri kwetu, mtaji wa wanasiasa dhaifu. (Case study; Kalenga)

    Nimefuatilia kidogo kampeni za uchaguzi mdogo jimbo la Kalenga nagundua kua bado upofu wa kufikiri wa watanzania ni mtaji mkubwa kwa wanasiasa. Wanasiasa wetu siku wakipata kufanya siasa kwa watu wapevu wa fikra watashindwa kwa aibu. Kwa mfano; Mgombea kalenga kwa chama tawala anasema...
  9. lusekelo Andrew

    My sad greetings to JK:

    kwani Uganda wana nguvu gani ya kiuchumi kiasi cha kuweka wazi msimamo wao juu ya upuuzi huu?, zimbabwe je? hapa swala si uchumi. haidhuru kuambiwa, lakini inadhuru sana kuambiwa upuuzi halafu ukapepesa macho kuukataa waziwazi na kutangazia dunia msimamo wako, ili kesho asijitokeze mpuuzi...
  10. lusekelo Andrew

    My sad greetings to JK:

    It is sad to see that our Nation delays to decree internationally that we Tanzania are completely against homosexual marriage. We have delayed to commit laws and decree before the World that we are standing against on this stupid act. I have read that our President was asked on CNN, last...
  11. lusekelo Andrew

    Picha: Mwenyekiti wa CCM Taifa, Rais Kikwete Akabidhi Wasanii Mashuhuri tuu Kadi za kujiunga na CCM

    Edeleeni na mihemko ya wivu wa kike, badala ya kujenga hoja. mpevuka mtabadilika.
  12. lusekelo Andrew

    M4C-OPD jijini Mwanza katika Picha (Feb 01, 2014)

    Wait! wait! the game is still on start. don't panic lady. usiwashwe na mihemko ya 'kikekike' washauri na chama yako watumie chopa. maana unajenga hoja juu ya chopa. ungekua mwanaume usingekua na hoja zenye viashiria vya wivu wa kike. Get matured young lady.
  13. lusekelo Andrew

    Dr. Slaa: Tunahitaji mwaka mmoja tu kuigeuza Tanzania kuwa nchi ya viwanda

    akipevuka atabadilika. atatoka kwenye mihemko ya kishabiki ya kikekike, atakwenda kwenye ujenzi wa hoja kwa evidence
Back
Top Bottom