ni tahira kweli. unajua so kwamba nimekataa kuombwa. lakini kwanini wahusika hawaniombi wenyewe? mpaka awapigie debe yeye? nimemwambia kama ndio ujinga wanaufanyaga dada zake kwenye miji yao yeye akienda huko. basi iyo michezo kwangu siitaki
Habari za jioni mabibi na mabwana, kwanza nijambo lakujivunia Christmas tumeimaliza salama na naamini mwaka mpya wote tutafika salama mungu yu nasi.
Niende kwenye mada bila kupoteza muda mimi nimeoa na ndoa yangu ina miaka kadhaa. lakini kuna tabia ambazo mke wangu anazo nashindwa kuzielewa...
yaani kwa nyuzi zilizomo humu za kuhusu huyu mkombozi puli
ni nyingi na nyingine zinatisha. nyingine zilijaribu kutushawishi tuache lakini imesha shindikana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.