Recent content by Lusamba

  1. L

    DOKEZO Kampuni ya M-gas Cooking Limited imetutelekeza wafanyakazi kwa miezi miwili bila kutulipa mshahara na kuanzisha kampuni mpya

    damu ya mlinzi ishamchanganya hadi kauza kampuni tayari anatembea na doa jekundu hadi mwisho wa maisha yake
  2. L

    Tundu Lissu tunaomba uingilie kati suala la mikopo ya mitandaoni labda serikali itachukua hatua

    mkopo ni biashara ya mwenye nacho kumpokonya masikini,watumishi wana maisha magumu sababu ya mabenki
  3. L

    Tundu Lissu tunaomba uingilie kati suala la mikopo ya mitandaoni labda serikali itachukua hatua

    lhrc wanaingiliaje mkataba binafsi wa watu wawili waliokubaliana ulikopa kwa hiari lipa
  4. L

    Jinsi ya kufanikiwa kiuchumi, Kijamii, kisiasa, kiroho, kirahisi kabisa

    Mwafrika ukimuona kanisani anamuomba Mungu ampe kazi,mwenza ,mafanikio kiuchumi,mke mme na akishajibiwa kanisani ugeuka kituo cha polisi umuoni tena hadi apate tena matatizo mfano ya kufukuzwa kazi,biashara imeyumba talaka nk.Mzungu uenda kanisani kumuomba Mungu akimaanisha kwa sababu wao...
  5. L

    Sina kazi nashinda na simu muda wote

    shida ni wewe sio simu simu ni mwalimu tosha ina fursa zote itumie ikupe maarifa utoboe weka vyeti ufunguni au fungia kabatini toa akili nje weka iabu pembeni maisha sio vyeti bali unajua nini kuhusu maisha popote penye watu pana pesa pesa zinamfuata anazitafuta.anza kwa kuuza hata maji ya...
  6. L

    Je, ni magaidi wenyewe ndio wanajifungamanisha na uislam au waandishi wa habari ndio wanaoufungamanisha ugaidi na uislam

    ni magaidi wenyewe ndio wanajifungamanisha na dini ili kupata cheap labour ya wapiganaji wa bure wa kuwalipa wali maharage tu baada ya kuwafanyia brainwash vijana wasio na ufahamu wowote kuhusu imani ya dini yao zaidi ya mihemuko tu. makundi ya kigaidi yapo yajifungamana na Ukristu mfano Lord...
  7. L

    NEMC: Tumekagua ghala ambalo moshi wa Kemikali ulisambaa na kubaini Wafanyakazi wake pia hawana vifaa kinga

    hii salfa inaua madereva wengi sana.Ulaya inakuja kwenye kontena kwann mamlaka inaruhusu isafirishwe kwenye viroba tutegemee madhara zaidi
  8. L

    Tambiko la Wanyaturu kwa gari la Lissu, wahusika bora wajitokeze

    Ushirikina ni ishu ya timing tu aliyetoa kafara nzuri kwa shetani ndie huwa mshindi
  9. L

    Tambiko la Wanyaturu kwa gari la Lissu, wahusika bora wajitokeze

    Mbona wengi walishakufa kwa karma
  10. L

    Mume wa sasa wa pastor Irene Uwoya ni nani?

    Mcheki steve nyerere ndie dalali wao
  11. L

    Shocking: Video inayomuonesha P Diddy akimpiga vibaya mpenzi wake Cassie yawekwa hadharani

    Sasa kipigo kinatibu verbal abuse si unakaa nae mbali tu akaolewe na mama yake aliyemlea vibaya
Back
Top Bottom