Mwafrika ukimuona kanisani anamuomba Mungu ampe kazi,mwenza ,mafanikio kiuchumi,mke mme na akishajibiwa kanisani ugeuka kituo cha polisi umuoni tena hadi apate tena matatizo mfano ya kufukuzwa kazi,biashara imeyumba talaka nk.Mzungu uenda kanisani kumuomba Mungu akimaanisha kwa sababu wao...
shida ni wewe sio simu simu ni mwalimu tosha ina fursa zote itumie ikupe maarifa utoboe weka vyeti ufunguni au fungia kabatini toa akili nje weka iabu pembeni maisha sio vyeti bali unajua nini kuhusu maisha popote penye watu pana pesa pesa zinamfuata anazitafuta.anza kwa kuuza hata maji ya...
ni magaidi wenyewe ndio wanajifungamanisha na dini ili kupata cheap labour ya wapiganaji wa bure wa kuwalipa wali maharage tu baada ya kuwafanyia brainwash vijana wasio na ufahamu wowote kuhusu imani ya dini yao zaidi ya mihemuko tu. makundi ya kigaidi yapo yajifungamana na Ukristu mfano Lord...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.