Recent content by Lusalago

  1. L

    Wananchi tumeshaamua kumchagua Magufuli .. Ukawa nao wawe wabunifu

    Bora umewaambia yaani hawa wana Ukawa sijui wana moyo waaje hawajatumwa kuchagua mgombea mwenye afya mgogoro lakini wanapoona Rais mtarajiwa Magufuli akipasha wanaviba kweli! Jamani si mpasuke. kulala wanashindwa,kutwa leo wanatumia muda wao kupost vitu visivyo na maana kwa lengo la kum-dis...
  2. L

    Rostam, tukutane mahakamani

    Ushauri kwa Kubenea falsafa ya chama alichopo sasa si ya kipindi cha Dr Slaa cha kukemea mafisadi huenda akawa anaanza kuwaanika wakubwa zake bila yeye kujua
  3. L

    Special Thread: Taarifa za Kampeni za Mgombea urais kupitia CCM, Dr. Pombe Magufuli na Samiah Suluhu

    Magufuli ni noma wapinzani hawana chao namba wameshaisoma hakika tunasubiri aapishwe tu mwenye macho haambiwi tazama
  4. L

    Magufuli ametumia muda mfupi sana kuivuruga ngome ya Lowassa

    Magufuli jembe lisilokamatika we acha tu!! lilichukua form ya uraisi kimya kimya lina choma mioyo ya watu kimya kimya. Watu wanazidi kuliamini kimya kimya kwa hoja zenye mashiko. Acha waisome namba Magufuli anatoa hoja tu...hana blah blah na hataki kujibu matusi na vijembe vya Ukawa...
  5. L

    Tahadhari kwa waumini wa Gwajima

    Gwajma anakegeuka na maadili ya kichungaji kwa kutoa siri za waumini wake aonywe na ajirekebishe mtumishi huyu
Back
Top Bottom