Tubadili mitaala ili iendane Na mazingira yetu.mf tumejaliwa misitu watoto wetu waandaliwe tangu elimu ya awali kujifunza namna kutunza misitu ni lahisi kupata wabobezi wa Mali asili.
Jambo lingine ni kungelikuwa na utaratibu wakulazimisha viongozi wa selikari wa maenoe usika watoto wao kusoma...
Hii ya watumishi kujiuzia magari ni jambo la kawaida kwa wakurugenzi wa mashirika ya umma!! Mfano mkurugenxi wa AICC na yeye alijimilikisha Gari ya selikari kwa pesa ya kutupwa!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.