Presdent nashauri anzisha harambee ya kuchangia ujenzi wa reli kuongezea nguvu hela za serikali zinazotengwa kwa ajili ya kazi hiyo. Hii reli tuijenge wenyewe na tunauwezo wa kufanya hivyo. Hapa suala ni kujiamini na kujitoa tu. Tuache kuona sisi hatuwezi na kuwa na akili ya utegemezi...
Hivi tuache kusoma kwa sababu kwenye elimu hakuna hela? Ee, si tunasoma tupate utajiri. Sasa bila elimu kubwa ya maarifa makubwa nani Angekutengenezea hiyo simu unayoitumia? Hiyo cm unayoitumia inamifumo mingi ambayo baadhi ya technoloji zake zilipatikana kwa maarifa makubwa ya elimu. Kama vitu...
Unatoa mifano ya akina Barkharesa, kama Barkharesa wako wangapi katika nchi? Education is for lebaration mentally and physically, not only to make you rich.
Acha ufu wa akili. Lengo la elimu sio kupata hela na utajiri unaoutamani na utajiri wenyewe sifahamu kama unao. Lengo la elimu ni kutoa maarifa ya kila nyanja ya maisha. Bila elimu usingejua umuhimu wa kunawa mikono ukitoka uani. Acha kuleta mada za aibu aibu hapa.
Mambo mengine kama huyafahamu ni vizuri ukakaa kimya. Mtu unasema vitu ambavyo vinakuonyesha kabisa ulivyomfinya wa uelewo. Lengo la elimu sio kupata fedha pekee na wala sio kupata kazi ya kuajiriwa tu. Elimu kubwa, ubobezi na maarifa makubwa zaidi. Na maana hii ndio unapata wataramu wakubwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.