Kama anakusukuma inatosha usiseme hakupi kitu. Kikubwa na yeye akupende usijipendekeze kisa kisa ana mvuto uliousema "Mwarabu flani hivi" [emoji23][emoji23]
Sent from my SM-A045F using JamiiForums mobile app
Ni utapeli mpya mjini, tena ambao umeonekana kuhalalishwa na wahusika. Na ukimwambia tumia nauli yako haji gheto, utateseka na upwiru wako.... Nashauri hivi; tongoza majirani anatembea mita chache au analipa nauli buku tu kashatimba maghetoni. Au kama vipi unachukua boda unamfuata mwenyewe...
Nashukuru kwa kunielewa, ni kweli tatizo la lugha ya kiingereza lipo sana kwangu, ila kuna mtu amenishauri niandike kwa kiingereza badala ya kiswahili akidai labda pengine jambo langu litapata uzito kwa watakaolisoma! Sikujali kutokujua kwangu ila nikapambana kuandika hivyo hivyo.... Nisaidieni...
Kiswahili huko kwingine nimedandia tu, sijui kitu ni kwa vile inatulazimu kujifunza na kusoma kwa kiingereza. Michongo ya kiswahili itanifaa zaidi... Tafadhali naomba michongo kama unayo, kuwa jobless kunakondesha sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.