Recent content by lungemba

  1. L

    Sina hamu na ndoa tena.

    Rafiki,mie naona kama una tutaabisha bure...kimsingi yaonesha wewe huna misingi ya kuaminika,kwani huyo mke wako angelikuwa na matatizo tangu mwazo,usingefikia hata hatua ya kumuoa.Kutokana na matendo yako,amepoteza kabisa imani na wewe,na hayo ndio matokeo yake.. Katika kichwa cha...
  2. L

    Mshkaji wa karibu kammega demu wangu

    Hapo naona tatizo si mshikaji tu...bali hata demu wako..ni vigumu sana mwanaume kumkatalia huduma demu kisa tu ni demu wa mshikaji wake..ndiko kusaidiana kwenyewe in case kuna mapungufu fulani fulani.Kaa na demu wako,mbembeleze mpk akubali kukuambia ukweli.Akisema ukweli utamuuliza how was the...
Back
Top Bottom