Rafiki,mie naona kama una tutaabisha bure...kimsingi yaonesha wewe huna misingi ya kuaminika,kwani huyo mke wako angelikuwa na matatizo tangu mwazo,usingefikia hata hatua ya kumuoa.Kutokana na matendo yako,amepoteza kabisa imani na wewe,na hayo ndio matokeo yake..
Katika kichwa cha...