Nape ni mnafiki yeye na baba yake Membe ndiyo wafanyabiashara wa kangomba. Yeye aliwahi kuwa mkuu wa wilaya ya masas mkoani mtwara na wakati huo serikali iliweka dhamana kwa vyama vya msingi kukopa bank kwa ajili ya kuwalipa wakulima malipo ya awali.sasa atupe changamoto zilizojitokeza wakati...
Kama fastjet wanadaiwa wanatakiwa kulipa habari ya kubembelezana eti kwa sababu uingereza watatufanyia hujuma sis haitusaidi.Kila kitu kinatakiwa kiende kwa taratibu tulizojiwekea na tuziheshimu.Ukiukaji wa taratibu hizo ndiyo umeuwa mashirika ya umma na ni upuuzi mtupu kushangilia wazungu...
Ni bahati mbaya watumishi tumemuelewa rais magufuli kuliko rais yeyote.suala la maslahi yetu kazini tuliyokuwa tunapewa bila uhakika na kwa kunyenyekea hivi sasa tunalipwa kwa usawa bila ubaguzi.suala la nyongeza ndogo za mshahara tulizokuwa tunapewa tulikuwa haturidhiki nazo sasa ametuahidi...
Mnyika alimuomba rais atumie ubinaadamu kuhusu suala la fidia kwa waliovunjiwa nyumba ingawa anajua fika kuwa hukumu ya mahakama kuu ni amri hivyo anawahadaa wananchi wake.Hakuna aliye juu ya sheria.safi rais magufuli dogo alitaka kukutia mkenge
Hawa ni vbaraka waliotumwa na mabwana zao wenye wivu na maendeleo ya nchi hii.wanataka kuleta machafuko na hofu kwa wananchi. nina imani serikali itawashughurikia ipasavyo. kama ni mikutano kwenye majimbo yao wameruhusiwa lakini hamfanyi.
Si mbowe ,zito, mdee wala mnyika anayefanya mkutano...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.