Kama ulijaribu ku apply mwanzo kulikuwa na kanyota pale means lazima uwe na kigezo kile lakini baadae walikitoa ikawa sio lazima pamoja na Cha darasa la Saba.
. Hata pccb mwanzo waliweka kigezo cha jkt kama lazima baadae wakakiondoa ila kama maombi yatakuwa mengi mhanga wa kwanza atakuwa ambae hakupitia jkt, mambo magumu sana kwa vijana na isitoshe sio hawakupenda kwenda jkt bali nafasi hawakupata.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.