Recent content by lumumbai

  1. lumumbai

    Nafasi za Kazi 350 zatangazwa TAKUKURU

    Na Ugumu ndo ulianzia pale.
  2. lumumbai

    Nafasi za Kazi 350 zatangazwa TAKUKURU

    Daah haipimiki mwanangu msiba ule
  3. lumumbai

    Ifike wakati viongozi wa mpira wawajibike kwa kauli na matamshi yao

    ujumbe uwafikie wahusika kwa afya ya mpira wetu
  4. lumumbai

    Nafasi za Kazi 350 zatangazwa TAKUKURU

    Taabu Sana mamba..
  5. lumumbai

    Nafasi za Kazi 350 zatangazwa TAKUKURU

    Kama ulijaribu ku apply mwanzo kulikuwa na kanyota pale means lazima uwe na kigezo kile lakini baadae walikitoa ikawa sio lazima pamoja na Cha darasa la Saba.
  6. lumumbai

    Nafasi za Kazi 350 zatangazwa TAKUKURU

    . Hata pccb mwanzo waliweka kigezo cha jkt kama lazima baadae wakakiondoa ila kama maombi yatakuwa mengi mhanga wa kwanza atakuwa ambae hakupitia jkt, mambo magumu sana kwa vijana na isitoshe sio hawakupenda kwenda jkt bali nafasi hawakupata.
  7. lumumbai

    Nafasi za Kazi 350 zatangazwa TAKUKURU

    , asilimia kubwa vyeti ndo vilikuwa vinaongea hakukuwa na mambo mengi, pccb sijajua modes zao za interview zinavokuwa.
  8. lumumbai

    Nafasi za Kazi 350 zatangazwa TAKUKURU

    walifanya tar 2 na 3
  9. lumumbai

    Msaada interview za Jeshi la Magereza

    Sure, wange achia tu mkeka wao tuone mbivu na mbichi ili tuendelee na mapambano mengine,
  10. lumumbai

    Msaada interview za Jeshi la Magereza

    Tuendelee kuwa na subira tuu
  11. lumumbai

    Tatizo la Simba ya sasa ni kocha mzuri au wachezaji wazuri?

    Tukutane mwisho wa msimu wa ligi tujue mbivu na mbichi.
  12. lumumbai

    Taifa stars yaonyesha kiwango kibovu

    tena sio kiwango kibovu sema kichafu
  13. lumumbai

    Majambazi wakamatwa baada ya kupora fedha Sinza Dar

    mijitu kama hii kamata peleka msituni piga risasi ipotelee huko ikiachwa kwa system ya hii nchi kesho unaweza wakuta wapo mtaani
Back
Top Bottom