Lembeli; CCM si mama yangu
Lembeli ngoja nikukumbushe ccm imekufikisha ulipo, wakati ukigombea Ubunge kupitia ccm uliapa kulinda katiba yake yenye muundo wa serikali mbili,leo unabadika. Hivyo ni sawa na kumuasi mama yako aliyekubebea mimba miezi tisa akakuzaa, kukutunza,kukulea na kukuongoza...