Pesa huwa napokea tareh 28 nina uhakika wa kulipa, nina shida sana ndo maana nimeomba tu Riba yoyote sababu hiyo shida natakiwa kuitatua leo kaka ila uhakika wa kurudisha upo asilimia zote
Habari wapendwa nimepata matatizo nina shida ya mkopo wa dharula kwa waliopo Morogoro au popote pale nipo tayari kwa riba yoyote tareh 28 narudisha au kabla ya hapo, au kama kuna mtu anafahamu wanapotoa mikopo ya dharula kwa Morogoro naomba anielekeze tafadhali, nipo tayari kwa riba yoyote.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.