Mnataka mengi afanye niñi Mheshimiwa Alisema muda wa siasa umeisha sasa kama ww unaanza kusema mapungufu ya mengi ya kwako yako wapi?. Maisha kama unataka Cheo Omba tu lakn hatutaki kuchafua watu ndio maana ya upinzani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Inasikitisha Askari kumtishia Raia inasikitisha tunako kwenda siyo kuzuri, kama wanaopaswa kutulinda ndo wanao tutisha na siraha nasikitika sana, Dar es salaam si salama kwa kweli, MUNGU ibariki Tanzania.
Sent from my itel it1507 using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.