Recent content by lukindo

  1. lukindo

    Hilda Newton akamatwa na Polisi Kisutu, Je naye ataokotwa Mabwepande?

    Je, ni keli Kenya/Uganda wako nyuma yetu kimaendeleo!? Maana kwao achana na kesi za mahakamani, hata interview za vetting za majaji zinakuwa live lwenye tv/mitandao yote!
  2. lukindo

    PreGE2025 Tundu Lissu amegoma kesi yake kuendeshwa kwa njia ya Mtandao. Kesi yaendelea Mahakamani

    "wananchi should be royal to the government" "wananchi should be royal to the JUST government" ...ainisha utofauti wa hizi sentensi mbili. Ujinga hautafutwi bali tunatafuta elimu/uelewa
  3. lukindo

    PreGE2025 Mbunge Aida Kenani aitaka Serikali kueleza sababu za kukamatwa kwa Tundu Lissu

    Huku mtaani kuna watu wana pesa nyini sana, ila wajuzi wanadai "pesa ziko mikononi mwa watu wasiostahili". Angalizo la pili pia nalo lafanana nalo, ubunge ni madaraka makubwa sana ila ni wazi madaraka yameachiwa kwa watu wasiostahili! Tulizoea mbunge akiomba kutoa taarifa labda anesema sheria au...
  4. lukindo

    PreGE2025 Boni Yai: Wakili wa chama ametolewa, tumeambiwa Afande Muliro ana mazungumzo ya siri na Tundu Lissu

    Watz kwa hakika ni watu wenye umoja sana, lakini kwa umoja wa kijinga na roho mbaya kama hii basi bora utengano dhidi ya huu umoja fake! "Kila kura inayopigwa kuhesabiwa, ukweli, haki na uwazi wakati wa uchaguzi" ....kuna ubaya au dhambi gani katika haya!? Je, si ndio haya anayoyapigania Tundu...
  5. lukindo

    Brazil: Meya wa Mji wa Sao Paulo asema hospitali zinaweza kuzidiwa ndani ya wiki mbili zijazo

    Vipi Brazil Mungu ni kwenye mpira tu, ni kwa nini wasimuombe na kwenye hili suala linalotishia maisha yao!?
  6. lukindo

    Rais angalau awe ameshakuwa Waziri wa Mambo ya Nje au Balozi; kwa hili Nyerere aliona mbali

    Nakumbuka wakati wa Mzee Mkapa hali ilikuwa ngumu sana lakini kwa msaada wa mdahalo wa wazi watu walipata kujua umuhimu na uwezo wa kiongozi kwa masaa machache tu. Wakati tukitafuta suluhisho la matatizo yetu pia tukumbuke aliyeondoa midahalo ya wagombea kama mchawi wetu! Nafikiri wazoefu...
  7. lukindo

    Kwetu tunapohesabu wafu, wenzetu sasa wako kwenye kurejea maisha yao ya kawaida

    Hawa sio watu wazuri aisee, yaani sisi tumeacha miapa wazi ili kuwasidia lakini baada ya kukaa sawa wameamua kutufungia!
  8. lukindo

    WHO yailaumu Tanzania kutokutoa ushiriano mzuri takwimu za COVID19

    Huyu jamaa katuni sake ni zaidi ya miaka 30 na cha ajabu zinakuwaga na unabii flani maana kuna zingine za miaka zaidi ya 15 ukiziangalia leo ndio unagundua ukweli wake. Hii nayo ni kama ya kaunabii fulani hivi!
  9. lukindo

    Utata wa hesabu: Naibu waziri afya anadai tunapima kwa siku watu 500 na wanaohisiwa tu, na kati ya hao walio ambukizwa ni kati ya 70%-80%

    Sasa sijui wanakuhisi vipi!? Ndio maana lockdown au hata isingekuwa hiyo basi kufanya restriction ili pale tu alipojulikana mtu wa kwanza ndipo tracing ingeanzia. Sasa ndio tumeshachelewa lakini haina maana ndio tujiachie na kufa sote, hapana tuanzie hapahapa tulipo na kwa vile uwezo tayari ni...
  10. lukindo

    Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu anawasilisha hotuba ya bajeti ya wizara yake

    Hivi huwa dada ni mbunge wa jimbo gani vile!?
  11. lukindo

    Niliyoyashuhudia leo Muhimbili

    Njoja tuendelee kusubiri kama 'unabii' wa Melinda Getisi utatimia maana dalili zake zilishaanza!
  12. lukindo

    Mnaopinga lockdown kuna vitu mfikirie kwa mapana

    Mwezi mmoja uliopita (siku kama ya leo mwezi jana) athari za hili janga zilikuwa zinalinganishwa na vita kuu ya pili ya dunia, Mwezi mmoja baadae wanasema huenda athari zake zinapita za WW2 ikiwa na maana kuwa katika watu wote tunaoishi sasa hakuna hata mmoja aliwahi kufanya hata simulation ya...
  13. lukindo

    Mnaopinga lockdown kuna vitu mfikirie kwa mapana

    Naona wanaopinga wanasema Rwanda na Kenya wameweka lockdown lakini wangonjwa wanaongezeka. Na kwa vile wengi wanamini katika hizi propaganda na kutokuelewa huenda ikatupelekea kwenye janga zaidi maana hawajui kuwa idadi ya testing iliyofanyika katika nchi hizo tukiifikia sisi idadi ya case ndio...
Back
Top Bottom