Malizia hiyo degree unayosoma kwanza kama upo ukingoni yaani mwaka au miaka 2 kabla ya kumaliza then baadae ndio ufanye unachotaka kufanya huwezi kujua hiyo degree unayotaka kuiacha kwa sasa yawezekana ndio ikakupa deal siku za hivi karibuni.
Komaa nayo kwanza haya mambo hayatabiriki unaweza...
Kwa ulimwengu wa sasa na Tanzania yetu ukifuata stori za kozi gani inalipa na ina maslahi unaweza kuja kujialaumu baadae . Soma kitu ambacho utakimudu, Una passion nacho na hautakuja kujutia baadae. Nashauri uusikilize moyo wako unataka nini baada ya hapo soma hicho kitu halafu namna ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.