nawaombeni samahani kitengo cha oparesheni mhimbili kwa usumbufu wowote uliojitokeza hapa. samahanini sana mhimbili nikwamba nilipindisha maneno kwa kutojua taratibu za utoaji matibabu kwa kadi za bima. nilikosea kupost mada yangu.nawaombeni samahani sana management yote mhimbili hospital.kosa...
mkuu,hippocratess nashukuru kwa kunielewesha vizuri na kwa ufafanuzi mzuri sana ni kwamba tulikua na kadi ya BIMA, kutokana na maelezo yako nakubaliana nawe na nadhubutu kusema kuwa upo right na kwamba kumbe hakuna makosa. nasema kuwa nasema upya kwamba mhimbili hospital ya taifa ni sehemu...
mkuu hapo kidogo umenifumbua macho kwa kweli hapa dar kumiliki usafiri ni shidaa, hapo ulipe kodi ya pango, utoe ada za watoto, ununue chakula. hatari bana
mkuu sisi tunajihamini sana na hatuna haja ya kuzunguka kote uko kutafuta kiki, ukiona mtu anazunguka kote uko jua hajiamini na mwoga mwoga sana kama mond
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.