Recent content by lukelo sakafu

  1. L

    Ubadhirifu: Kitengo cha oparesheni Muhimbili hospital kimulikwe

    nawaombeni samahani kitengo cha oparesheni mhimbili kwa usumbufu wowote uliojitokeza hapa. samahanini sana mhimbili nikwamba nilipindisha maneno kwa kutojua taratibu za utoaji matibabu kwa kadi za bima. nilikosea kupost mada yangu.nawaombeni samahani sana management yote mhimbili hospital.kosa...
  2. L

    Ubadhirifu: Kitengo cha oparesheni Muhimbili hospital kimulikwe

    mkuu,hippocratess nashukuru kwa kunielewesha vizuri na kwa ufafanuzi mzuri sana ni kwamba tulikua na kadi ya BIMA, kutokana na maelezo yako nakubaliana nawe na nadhubutu kusema kuwa upo right na kwamba kumbe hakuna makosa. nasema kuwa nasema upya kwamba mhimbili hospital ya taifa ni sehemu...
  3. L

    Inakuaje unafunikwa na mtu uliyemshirikisha kwenye wimbo wako?

    woyoooooooooooh! mkuu nakupa 5 kwa kusema ukweli halisi,jamaa kafunikwa mbaya mbovu
  4. L

    Mwanamuziki maarufu kanitapeli 80,000/=

    mkuu kwani mond kasafiri?
  5. L

    Tuzo za KORA zimerudi, safari hii kumwaga mkwanja kwa washindi

    mkwanja wote atachukua K 4 REAL
  6. L

    Mwanamuziki maarufu kanitapeli 80,000/=

    jamani mwambieni mond akalipe deni la watu.
  7. L

    Mwanamuziki maarufu kanitapeli 80,000/=

    mkuu umetumwa au?
  8. L

    Tunamiliki gari ili kupata unafuu wa maisha au kujitwika umasikini?

    mkuu hapo kidogo umenifumbua macho kwa kweli hapa dar kumiliki usafiri ni shidaa, hapo ulipe kodi ya pango, utoe ada za watoto, ununue chakula. hatari bana
  9. L

    Inakuaje unafunikwa na mtu uliyemshirikisha kwenye wimbo wako?

    hivyo hivyo lakini ujumbe umefika
  10. L

    Inakuaje unafunikwa na mtu uliyemshirikisha kwenye wimbo wako?

    mkuu sisi tunajihamini sana na hatuna haja ya kuzunguka kote uko kutafuta kiki, ukiona mtu anazunguka kote uko jua hajiamini na mwoga mwoga sana kama mond
Back
Top Bottom