Recent content by lukellomallu

  1. L

    Mada: Fahamu mambo mbalimbali kuhusu gari aina ya Subaru Forester

    Kwa niaba ya watu wengine.. kubali kusikiliza ya wanaokwambia subaru nimekaa nayo miaka bila kwenda garage au sikiliza uhalisia. Gari zote ni nzuri lakini kuna competitive advantage ya nyingine. Mtu anakwambia nafunga oil filter ya subaru 35,000 nasahau nani kakwambia wamili wa toyota wanafunga...
  2. L

    Toyota Rav4 au Suzuki Vitara

    7A-FE inapatikana pia kwenye Corona premio AT211, Avensis, Caldina, Celica na baadhi ya spacio na carina. Imekaa kwenye gari hizo generation husika ilotengenezwa 1996-2002
  3. L

    Umetafuta Fundi wa gari yako? Uliza chochote kuhusu gari lako

    Speedometer yako ndo ina shida mkuu.
  4. L

    Toyota Vs Nissan

    TOYOTA! kwanini toyota, kwanza katika comparison ya model tofauti kati ya nissan na toyota mfano land cruiser na patrol, rav 4 na x trail au vits na March fuel consumption za toyota ni nzuri sana kuliko Nissan. Pia upatikanaji wa spare ni rahisi na ni bei nafuu. Toyota katika hali ya kawaida ni...
  5. L

    Toyota Rav4 au Suzuki Vitara

    Well said, Toyota spares utapata popote uendako na zipo fake kwa original!! Rav 4 the old models zenye 3s zinakunywa mafuta sana na zinatembea vizuri. I would prefer a Rav 4 with 7A-FE kuliko 3S-FE kwasababu ya fuel consumption na performance. Rav 4 zipo comfortable tangu generation ya kwanza...
  6. L

    Toyota Rav4 au Suzuki Vitara

    mkuu nilichohitaji ni general answers ya mtu kudefend ni kipi atapendelea. Suzuki mwenyewe ana generations nyingi tu za vitara na Toyota pia ana generations tofauti za Rav 4. In case hukuelewa ulikua na uwezo wakuchagua any generation nakufanya comparison, kuonesha weakness na ubora wa gari...
  7. L

    Naomba kufahamishwa faida za kufunga turbo katka gari ndogo

    itakukost pesa ndefu sana. Chamsingi ni kununua engine either ya starlet glanza V au vits RS ambazo ni turbo charged tayari na kuifunga hapo itakua nafuu.
  8. L

    Kati ya Nissan Patrol vs Toyota VX vs Range Rover: Ipi ni the best SUV? Maoni pls

    umeweka gari zenye level tofauti pamoja!! Ila hapo kwa kuzipanga ni BMW, Range Rover, Mercedes Benz, Toyota VX V8 halafu NIssan Patrol. Hizo bimmer, range na benz tuziache. Toyota VX V8 ni gari nzuri zaid ukilinganisha na Patrol
  9. L

    Ni engine gani nikifunga kwenye body ya Subaru foresta itakaa bila usumbufu wowote?

    Nadhani hata ya Toyota 4 runner inakaa vizuri pale. lakini ni vema ukatafuta engine ya subaru forester au legacy isiyo na turbo na uwe makini kwenye timing belt kwasababu ndo shida kuu ya Subaru kuua engine, watu hawazingatii wakati wa kubadilisha.
  10. L

    Toyota Rush, Toyota Rav 4 or Murano

    Chukua rav 4....ina room kubwa, perfomance standard, imara, 4WD, spare zipo nyingi sana na ni bei nafuu tena unapata option ya kuweka feki au original:p. Fuel consumption ni afadhali kuliko murrano. Buy a Toyota utaenjoy maisha kwa unafuu wake. Rush sio gari ya kusema ni uhakika kwa safari...
  11. L

    Premio au allion?

    Premio ni nzuri, japo allion ni version ya premio kwa UK nadhani. Asa ukija ktk reality premio ina perfomance nzuri, fuel consumption sio mbaya, ina shape nzuri, stability iko poa kuliko allion, ina room kubwa. So just go for the premio. Na unapokwama usisite kununua Allion kwasababu ni karibia...
  12. L

    Premio au allion?

    blaza fanya kumjibu jamaa kama unafahamu sio kuongelea vitu usivyo na uhakika navyo.
  13. L

    Naomba kufahamishwa faida za kufunga turbo katka gari ndogo

    Zungumzia ni gari gani unataka kumount turbo. Turbo inaweza wekwa kwenye gari yoyote sasa muhimu ni kujua ni engine gani unatumia. kama na natural aspirated engines kuna uwezekano wa mabadiliko mengi unapotaka kuweka turbo, kwanza upate full kit ya turbo (turbo, intercooler na plumbing zote)...
  14. L

    Toyota Rav4 au Suzuki Vitara

    Hivi kati ya Rav4 na Vitara ipi ni gari nzuri in terms of performance, durability n.k
Back
Top Bottom