Naomba kufahamishwa faida za kufunga turbo katka gari ndogo

Vipi baba
Turbo sio kama spotlight ambayo utaongezea kw gari ukitaka - au rafiki akikusihi.
Turbo lazima ihusishe mifumo mingine ya engine kama vile
- fuel system: kuongeza kiasi cha mafuta kulingana na ongezeko la kiasi cha hewa kwenye BOOST
- exhaust: ili kudhibiti kasi ya kutoka kwa moshi na kuzuia backfire ukiachia mafuta
- valve train: valve lazima ziboreshwe ili kuhimili joto la juu zaidi; camshaft lazima iwe inaendana na mfumo wa turbo
- cylinder head: kiasi cha joto lazima kishughulikiwe vizuri ili kuzuia gasket failure, head warping au hata valve meltdown

Kuna mengi ya kufanywa ili gari liwe gari na sio janga. Boss si ununue yenye turbo tu - na huyo rafiki yako mwambie awache mirungi!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni wazo zuri mkuu lakini hujasema ni gari aina gani na linatumia engine gani pia.

Je unataka kufunga hivyo kwaajili ya fan or ? Maana sio bei rahisi kufanya hiyo modification.

Mm mwenyewe na mpango wa kufunga engine ya subaru wrx kwenye vw combi mgongo wa chura.
 
Ni wazo zuri mkuu lakini hujasema ni gari aina gani na linatumia engine gani pia.

Je unataka kufunga hivyo kwaajili ya fan or ? Maana sio bei rahisi kufanya hiyo modification.

Mm mwenyewe na mpango wa kufunga engine ya subaru wrx kwenye vw combi mgongo wa chura.
Kweli wewe unaelewa unachosema. Kufunga engine ya Subaru iliyo na turbo tayari unafananisha na kuongezea turbo?
Na kwa hiyo combi yako umejiuliza utaismamisha vipi baada ya hiyo kasi na nguvu yote unayoongeza?

Mbwe?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari za asubuhi wakuu! naomba kujua faida za kufunga turbo ktk gari ya ndogo kuna rafiki yangu ananisihi nifanye hivyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
Zungumzia ni gari gani unataka kumount turbo. Turbo inaweza wekwa kwenye gari yoyote sasa muhimu ni kujua ni engine gani unatumia. kama na natural aspirated engines kuna uwezekano wa mabadiliko mengi unapotaka kuweka turbo, kwanza upate full kit ya turbo (turbo, intercooler na plumbing zote), ubadili ECU system, ubadili cylinderhead, ubadili pistons na exhaust system pia lazima ibadilishwe.Na kuna gari nyingine engine inaweza handle turbo ndogo kwa urahisi bila mabadiliko ya pistons na cylinderhead.
Tunapofahamu ni engine gani unatumia ndo unaweza pata ushauri either ufanye kuswap engine ufunge yenye turbo au ufunge turbo kwenye hiyo engine yako iliyopo.
 
Zungumzia ni gari gani unataka kumount turbo. Turbo inaweza wekwa kwenye gari yoyote sasa muhimu ni kujua ni engine gani unatumia. kama na natural aspirated engines kuna uwezekano wa mabadiliko mengi unapotaka kuweka turbo, kwanza upate full kit ya turbo (turbo, intercooler na plumbing zote), ubadili ECU system, ubadili cylinderhead, ubadili pistons na exhaust system pia lazima ibadilishwe.Na kuna gari nyingine engine inaweza handle turbo ndogo kwa urahisi bila mabadiliko ya pistons na cylinderhead.
Tunapofahamu ni engine gani unatumia ndo unaweza pata ushauri either ufanye kuswap engine ufunge yenye turbo au ufunge turbo kwenye hiyo engine yako iliyopo.
Gari ni 1st kaka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bei ya turbo kit ni shida

Sent from my Iphone 6 Plus using JamiiForums mobile app
 
Vipi baba
Turbo sio kama spotlight ambayo utaongezea kw gari ukitaka - au rafiki akikusihi.
Turbo lazima ihusishe mifumo mingine ya engine kama vile
- fuel system: kuongeza kiasi cha mafuta kulingana na ongezeko la kiasi cha hewa kwenye BOOST
- exhaust: ili kudhibiti kasi ya kutoka kwa moshi na kuzuia backfire ukiachia mafuta
- valve train: valve lazima ziboreshwe ili kuhimili joto la juu zaidi; camshaft lazima iwe inaendana na mfumo wa turbo
- cylinder head: kiasi cha joto lazima kishughulikiwe vizuri ili kuzuia gasket failure, head warping au hata valve meltdown

Kuna mengi ya kufanywa ili gari liwe gari na sio janga. Boss si ununue yenye turbo tu - na huyo rafiki yako mwambie awache mirungi!

Sent using Jamii Forums mobile app
kweli

Sent using Jamii Forums mobile app
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom