Kijana utasutwa. Kazomewa itakuwa umemzomea wewe na mama yako.Kama anvyosema Le Mutuzi ukiongea lazma uongee na fact na evidence sio kuzusha mambo kisa unajua kutype. hali halisi ni hiyo hapa mjini mwanza.
Nawaomba mnieleweshe kitu kimoja, ni kitu gani kimebadilika kati ya upinzani ya mwaka jana na upanzani ya sasa?
Lowassa ndiyo yule yule walikuwa wanamuita fisadi papa na alikuwa kwenye list of shame ambayo iliandikwa na Tundu Lissu. Lowassa ndiyo mkali wa kutengeneza hierarchy za uongozi zisizo...
Wakati watanzania wameaminishwa kuwa hela ya Tegeta Escrow Account ni za serikali,wajanja wachache wachota mabilioni ya shilingi za kitanzania kiulaini.
Taarifa zilizovuja kutoka vyanzo vya uhakika vinaelezea kuwa uhusiano wa Singh na washirika wa Lowassa ulianza wakati wa kampeni za uchaguzi...
1.0. Libya ni moja kati ya nchi wafadhili wa Tanzania ambapo, kama ilivyo wafadhili wengineimekuwa ikiipa nchi yetu misaada na mikopo yenye masharti nafuu. Serikali yetu imekuwa ikifanya taratibu mbalimbali kulipa madeni ya nchi wafadhili kwa njia mbalimbali ikiwa ni pamoja na utaratibu...
sasa wewe unataka rais awe kadinali Pengo au Mufti? Serikali haina dini. na sio kila mtu anaabudu kwa imani yako, Tanzania ina Watanzania karibu milioni 50 na kila mtu ana uhuru wake wa kuabudu.
Wewe ni mfuata mkumbo..mizimu ni asili yetu..Watanzania waishio vijijini bado wanafwanafanya matambiko.ni urithi wetu na ni asili yetu huwezi kukwepa..au kwa sababu tumeletewa dini na waarabu na wazungu ndio unaamini hizo ndio bora...kama wewe ungezaliwa India basi its likely ungekuwa unaabudu...
Tuliopo Moshi tunajua kila kitu jinsi hao wadhamini walivyotafutwa.Wafuasi wa Lowassa wamegawa kadi zaidi ya 20,000 kwa wanachama feki wa CCM ili wadhamini Lowassa. Humo kuna wafuasi wa vyama vyote waliochukua kadi kwa malipo wakiwemo Red Brigade wa CHADEMA 150.Ujio wa Lowassa Moshi umetangazwa...
"Lowassa anapodai ushahidi wa kauli ya Mwl.Nyerere kumkataa mwaka 1995 anapaswa ajue kuwa naye anapaswa atoe ushahidi wa kauli ya Mwl.Nyerere akimsifu kuwa yeye ni kiongozi bora na msafi.Akithibitisha hili sisi familia tutatoa ushahidi wa kauli ya Mwl.Nyerere akimkataa kuwa yeye sio kiongozi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.