Uko sahihi kabisa,
JF pia wameupuuza msiba, members wanasoma na kuondoka bila kujadili kwa kina. Ilitakiwa akina Mohammed said kuja kutoa promo za mwisho, kwani muda wote Mohammed said and Co. walikuwa wanataka Ally amilikiwe na kundi fulani tu la imani na kusahau kuwa ni mtu wa wote...
Prof Mwaikambo ni mfano wa kuigwa katika fani ya tiba nchini ameokoa maisha ya watanzania wengi, amefundisha madaktari wengi na ameponya watoto wengi enzi hizo nchi ilikuwa na madakatari wachache wa watoto yeye akiwa mmoja wao.Amefanya tafiti nyingi za tiba ambazo kwa sasa ni nyenzo kwa...
ZITTO utakuwa si mwanasiasa makini kama unataka kuifunga mdomo JF kujadini dini wakati vyombo vingine hujavikemea lakini pia Rais aliwahi kuliweka wazi swala la udini katika uchaguzi wa 2010. Kauli ya Rais inaashiria kuwa Udini ni suala la kitaifa tuwekane sawa kabla hatujaungua na moto...
Naamini Uislamu hauwezi kujifunza chochote kwenye Ukristo na Ukristo hawezi kujifunza chochote kwenye Uislamu. NI dini mbili tofauti zinazoabudu Mungu tofauti na Mitume tofauti. Utajifunza nini kwa kitu ambacho hukiamini?
Tunachoweza kujifunza kutoka dini nyingine ni kupata tafsiri sahihi ya...
Tukisema Mtume Mohammed alikuwa mzinzi na Malaya tu wa pale makha na YESU sio Mungu ndio kutangaza dini? Hakuna ambaye hana tusi kwa imani nyingine kama akiamua.
Ukiona mtu kaacha kutangaza dini yake na kuanza kutangaza ya mwingine ni dalili kwamba anaabudu dini dhaifu.
Mafumbo ya imani yako mengi kwa mfano.
dini zote zinakiri kuwa Mungu aliumba mwanaume mmoja na mwanamke mmoja lakini baada ya miaka mingi kupita Mungu huyo huyo anatambua kuwa alikosea kuumba mume na mke mmoja anaanza tena kuruhusu kuoa wake wengi. Hii ina maana kwamba kumbe hata Mungu...
Kazimoto uko sahihi. Kigamboni wanajifunza kitu Mtwara
busara inazidi kuwa bidhaa adimu kwenye tunu za taifa, kushirikisha wananchi ni muhimu sana.
Likianza la Kigamboni Vyama vya upinzani vitadandia kama la Mtwara, wanasubiri kwa hamu.
Huko Kigamboni kuna wanaJeshi wengi waliojenga nafikiri...
Serikali ndio ianze kurudisha hasara iliyosababisha tangu ilipotaifisha shule na hospitali za kanisa ndipo na kanisa litarudisha zao. Kumbuka serikali ilirushe na faida ya kanisa iliyopotea tangu utaifishaji.
Basi na balozi za nchi zote za Kiisalmu itabidi zifunge virago.... nani atakuwa Loser?
Waislamu wana nchi nyingi za kiislamu zinazopeperusha Bendera lakini Vatican imekuwa kero kwao?
wakristo kukosa utaratibu haina maana watumie kuchinja kwa ibada ya Mungu mwingine ni kosa kidini kumchinja mnyama kwa jina la Mtume Mohammed na Allah wakati hao sio wao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.