Umetumia muda wako vibaya kuandika upuuzi kama huu jambo moja nakupongeza ulikua bingwa wa kukariri histori ulipokua form two
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata ningekua mimi tundu lisu ningetanguliza maslahi yangu kwanza mateso alopata hakuna wa kumlazimisha serikari ilizuia asiombewe watu tulikamatwa kwa ajili ya kumuombea halafu maslahi maslahi haiwezekani
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakupenda sana zitto zuberi kabwe mbunge mungu akuongoze ktk hekima ujasiri weledi ktk kutuunganisha wapinzani ili hatimaye tuushinde udikteta zitto una moyo wa watoto wadogo wa kusamehe na kusahau pale mzazi akikuchapa ubarikiwe
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.