Recent content by Luheshi

  1. Luheshi

    Ukweli usemwe, Chadema imeshindwa kuwalipa mawakili ndio maana Lissu ameamua kujitetea mwenyewe

    Kama wameshindwa kuwalipa mawakili fanya sherehe kuwa adui yako kakosa mbinu mpya
  2. Luheshi

    PreGE2025 Mbowe: Nimetoka mbali na Lissu, nilikuwa namlipia tiketi za ndege kwenda Tarime kuwatetea wachimbaji madini

    Acha kulalamika sema sera zako ukichaguliwa utafanya nini. Inafikia hatua kwenye uchaguzi mawakala wa CDM hawapelekewi chakula. Wenzetu mawakala wa CCM asubuhi wanaletewa supu mchana wanaletewa pilau. Ila unachojua kuruka na CHOPA huku wanaolinda kura zisiibiwe wana njaa.TL yeye amesema...
  3. Luheshi

    Nini kitatokea iwapo Tundu Lissu akiwa Mwenyekiti Chadema?

    Twende na TUNDU LISSU anatosha kuwa mwenyekiti
  4. Luheshi

    Mbowe: Siwezi kung'atuka CHADEMA wala kujiuzulu, mimi sio Nyerere

    Machawa ya mbowe ndiyo yanayompoteza mbowe azidi kuzama kwenye kina cha maji marefu,kwa mtoto wa mkulima wa alizeti SINGIDA. TUNDU LISSU
  5. Luheshi

    Mbowe aliiweka Chadema rehani kwa Samia. Sisi tulimuuliza kwani kuna shida gani mzee? Mbona uwezo tunao huku ukituweka rehani?

    Lissu akiwa mwenyekiti wala rushwa watamuogopa ,wakimwita gizani kuteta naye kumrubuni,asubuhi peupe anaongea yote kinagaubaga. LISSU OYEEEE...
  6. Luheshi

    Sasa nimeelewa maovu mengi ya Mbowe kupitia Lissu

    Mimi binafsi nimemuelewa lissu kama ifauatavyo> 1.Hakuna hata sehemu aliyoambiwa yeye ni mwizi 2.hakuna hata sehemu aliyoambiwa yeye mubadhirifu wa mali ya umma
  7. Luheshi

    Balance of power, CHADEMA wajifunze kutoka kwa chama kikubwa kama ANC la sivyo watapotea

    Kazi ilikuwa ndogo Mh; MBOWE kutangaza kumuunga mkono TUNDU LISSU kazi kwisha. Ila sasa MBOWE anajiona hakuna kiongozi mwingine wakuweza kuongeza chadema bila yeye ni tatizo. Sisi huku uswazi tunakosana na watu wa CCM kuitetea CDM kumbe CDM ni ya mtu binafsi amejimilikisha tayari.
  8. Luheshi

    Uchaguzi wa CHADEMA: Yakitokea haya itakuwaje? Mpasuko hauepukiki

    WENJE NDIYE ALIYEANZA KUWA UPANDE WA MBOWE SASA TUMEMUWEKEA JEMBE LA KUSHINDA NAYE WENJE HATOBOI HECHE KUSHINDA MISA YA KWANZA YA ASUBUHI
  9. Luheshi

    Elias Mpanzu ni Kibu Denis aliyechangamka

    MPANZU ni hatari sana akiwa na mpira huwezi kufananisha na kichaa kama DUBE
  10. Luheshi

    Freeman Mbowe ajilaumu kwa yanayomkuta - Absalom Kibanda

    Zandaaaaaan FAM kuhama chama ikiwa TAL atashinda uenyekiti
  11. Luheshi

    PreGE2025 Tundu Lissu ataka viongozi wa dini waingizwe kuwa wasimamizi wa uchaguzi wa CHADEMA

    Namuunga mkono TUNDU LISSU kwa asilimia zote 100% kuna, mpinzani wa kweli vs nusu mkate. nusu mkate hana cha kupoteza iwe jua au mvua anautaka tena uenyekiti
Back
Top Bottom