nimeshiba futari yangu swafi kabisa sina time na wazungu wakina Mzaleee na kizungu chake cha darasa la pili C. Tangu lini msomi ambaye amefika angalau form four B anacomment shudu tena kwa kuirudia zaidi ya mara 5
wakati nipo shule Tanga school nakumbuka tushapanda sana zile bus za tashriff na tahmeed. eti wanafunzi twende tukajazane mkwakwani ilimradi ionekane kulikuwa na mwitikio wa raia. aibu sana hiki Chama Cha Mbogamboga
aisee nilikuwa nachukizwa sana na wajinga ambao walikuwa wanang'ang'ana eti "mane anaibeba liverpool na sio salah" shenzi kabisa mnamjua egyptian king au wanamwona kwenye magazeti na tiktok.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.