Wew utakua ni mwana CCM.
Mumeshaanza mikakati ya kuwakatisha tamaa watz kwa hisia walizonazo.
Muda utafika na muda utaongea.
Rejea mifano ya nchi kama Ethiopia, Ghambia, Siera Leon. etc
No suala la muda tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Jaman msiwalaumu wanao shangilia unyanyasaji na dhuruma katika nchi hii.
Mara nyingine muwe mnaangalia viwango vya elimu yao.
Tafiti zimefanyika na majibu yakatolewa, wanaoshabikia utawala huu ni watu wa namna gani kielimu.
Mnaumiza vichwa buree
Niwakumbushe kidogo:
Huyu jamaa alisema alikua anajaribu kugombea urais, bahati mbaya akapewa anayejaribu ili apate CV tu ya kua aliwahi kugombea urais.
Tujilaumu sisi tuliyempa hayo madaraka makubwa.
Sijui tulitaka aokote makopo ndo tumkatalie au atembee uchi.????
Hili ni fundisho kubwa sanaa.
Alisema urais alikua anajaribu, kibaya zaidi tukampa anayejaribu kua Rais wa nchi.
Hili ni fundisho la Karne zinazokuja.
Mlitaka atembee uchi?
Au mlitaka aokote makopo?
Sina neno mie napita tu humu.
ASANTENI SANA
Msiwachukie wanaotetea dhuruma ya serikali, hasa wapo tu hawaishi. Hata wakati wa Off Amin walikuwepo waliotayari kufa naye.
Ni watu wasiokua na kazi, miradi yao ni kuomba omba tu.
Ni kama fisi asiyejua kuwinda kazi yao kuvizia mizoga.
Maarifa yao yapo kwenye simu kuwapigia hao mabwana kuomba...
Yule kenge akiona hivi anatoa macho.
Maana nasikia waliotumwa kumuua Lissu na wao waliokotwa koko Beach kwa kushindwa kazi waliotumwa na mfalme.
Viva Lissu, viva Tanzania
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.