Changamoto ninayo iona hapa nilipo Kuna vihardware vidogo vidogo ambavyo wanauza ivyo vitu vidogo vidogo kama bomba,PVC,vifaa vya umeme,nondo ,misumari, cement na zaidi.sasa nlikuwa na wish niwe tofauti kidogo.
Habarin wanaJF .Mimi ni mtumishi wa umma katika mkoa wa mwanza vijijini nje na ajira nimekuwa nikifanya biashara ya mpunga Kwa kukusanya nakuweka stoo ukipanda bei nakoboa nauza, ambayo ukikusanya mwezi 6 almost unakuja kuuza kwenye mwezi wa 2 next year Kwa sasa mtaji wangu nikama 10M.
Ila...
Shida yenu vijana wa Tanganyika ndo hio mkiona mtu kaongea kitu akaeka na habari ya ndoa mnafananisha akili zenu na mihemko yenu ilio wafanya mkimbilie ndoa kwa kubugi jambo ambalo linawafanya mnajuta mbaka leo .Nikufahamishe tu kijana mwenzangu kwamba Tanzania hii hii kunavijana wenye focus...
Juzi nimeomba ushauri kuhusu biashara ya kufungua pharmacy kwa mtaji wa 30m nitafute mwanamke mwenye diploma ya pharmacy nimuoe aje akae kwenye hio biashara.
Ila comment na ushauri mwingi kutoka kwa waja walishauri nisije karibu kufungua biashara na kumuweka mke.
Kwakweli Mimi kwaupande wangu...
Duuh!! ivi nikwel hawa viumbe wamefikia hatua hizo. Coz ukianzisha biashara kama hii ni kwaajili yenu wote wa wili na watoto wenu hapo badae, aje tena kukuibia na kukusaliti, kama ni hivyo hawa viumbe nimaadui sasa nasio wenza tena.
😄😄 Yan nikiona mtu anasema akioa ndo ataweza kuieshimu pesa huwa nachekaga sana nakuamin hapa duniani tuko tofauti sana naicho kinaniamisha mm ni kijana wa tofauti sana na lazima nitakuja kuwa tajiri one day.coz asilimia kubwa ya vijana wa bongo wanategemea msaada wa mwanamke kuja kuwafundisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.