Recent content by lugohe

  1. lugohe

    JamiiForums Tanzania natafuta bajaji iliyo na good condition nipo dar.

    Namba gani? Unataka
  2. lugohe

    JamiiForums Tanzania Kijana wa kiume natafuta bajaji ya mkataba

    Habari, kijana wa kiume natafuta bajaji ya mkataba au hesabu iwe kwenye hali yoyote muhimu iwe inatembea. Au mtu mwenye uwezo wa kunisaidia kazi yoyote ya kufanya kwa sasa nipo dar Elimu yangu form 4, ujuzi udereva leseni class a,a3,d pia nina uzoefu wa Kazi ya ufundi aliminium pia nilishawahi...
  3. lugohe

    JamiiForums Tanzania Dereva mwenye leseni hai na uzoefu miezi 4 barabarani, natafuta bajaji

    Mwananyamala, dar es salaam
  4. lugohe

    JamiiForums Tanzania Dereva mwenye leseni hai na uzoefu miezi 4 barabarani, natafuta bajaji

    Habari wana JamiiForums? Mim ni kijana me miaka 27, elimu form4 chet natafuta bajaji ya mkataba ama daily iwe kwenye hali yoyote yani mpya ama used. Nb: Ni dereva mwenye leseni hai, uzoefu miez 4 barabarani. Natumaini nitapata msaada wenu wanajamii forum hata wa kimawazo. Simu namba; 0673664434
  5. lugohe

    JamiiForums Tanzania Msaada: Bajaji Tvs zinauzwa bei gani?

    bajaji inayotumia gas na mafuta m10.9 inayotumia mafuta pekee m9.9 hii ni bei ya dukani kwa dar
  6. lugohe

    JamiiForums Tanzania Ni mstari gani kwenye biblia unautumia sana upitiapo nyakati ngumu katika Maisha

    Msijisumbue kwa neno lolote bali ktk kila neno kwa kusali na kuomba, pamoja na kushukuru haja zenu na zijulikane kwa MUNGU. wafilip 4:6
Back
Top Bottom