Mambo mengine mengi mazuri ya JPM hujayesema ambao mlishindwa kuyapigia kelele. Kwa uchache tu ni kama vile kudhibiti wa mauaji ya walemavu wa ngozi, mauaji ya vikongwe, ujangili, biashara ya madawa ya kulevya, ujambazi, ufisadi, panya roads, wizi warasrimali za nchi hasa madini na gesi, mateso...