Police nyota moja hadi tatu huvishwa na mkuu wa police wakati jwtz nyota moja huvishwa na rais hata kama rais atakuwa amesafiri husubiriwavmpaka atakapo rudi aje kuwavisha ciyo kwamba nyota zote sawa ci kweli hata kidogo
Hapa pia mnazungukana tu swali liliuliza IGP anaweza mpigia salute CDF jib ni ndio kitu ambacho hakiwezekani CDF kumpigia salute IGP hata awe na shida kiasi gan hata kama akienda ofcin kwake IGP atasimama na kumpigia salute ni hayo tu kwa ufupi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.