Asantee waziri kwa kuliona hili, hili pia huchangia wagonjwa kufa kwani mtu ha steak kwenye kitu kimoja ,waswahili wanasema, mtaka vyote mkosa yote, kazi moja inawatosha wapishe ambao hawana kazi nao wapate ajira
Hakuna alopanik ,nawala hiyo kauli hautitishi kama tuligoma kukaa ndani kwaajili ya corona ndo sembuse hii,
Hatuko kwaajili ya mabeberu tunafanya kile tunachokiona kiko sawa, acha watumikie adhabu zao maana wamezidi, na wananchi wamewachoka hawajui tuu
Kwanza sasa hivi CHADEMA ishakufa ilikuja kwa kasi kama ilivyokuwa CUF sasa na hii ni wakati wake, Tutakuwa tunazungumzia chama kingine lakini sio CHADEMA tena ,
Nilikuwa nawa zoom tu kipind cha kampeni , wa Tanzania sio wajinga, wameona ukweli uko wapi, hivyo watuache na nchi yetu kama...
Na wewe ni mtumwa ? Maana sijui unataka msaada gan kwa hawa watu, hawana utu hawa,utawafatisha siku ya siki wanakugeukia. Ila ndugu acha Uzwazwa hii ni nchi yetu, tunauhuru wa kuamua majambo yetu, hawa wamekosea wanatakiwa wawajibishwe kisheria, walitaka kutulipulia nchi yetu ,kwa maana ulipenda...
Mnaangamia na nani, hivi wewe ni Mtanzania kweli, kwani wamekamatwa bila ya makosa, unajua kinachoendelea, hao unaowataka wamepanga kulipua nchi, wakiachiwa hata wewe hutokuwa salama ,acha wakamatwe na hii kauli ya huyu babu wala haitutishi, serikali itaendelea kuwashikilia na kupelekwa...
Hebu peleka ujinga wako, lissu amekuwa wa kwanza kunadi vurugu, na kwa uwezo wa mungu tarehe 28 tutashinda na amani itaendelea kutawala....
Chaguo langu ni Magufuli [emoji169][emoji172][emoji736][emoji736]
Hakuna anaebebwa kama makosa mmeyafanya nyie kwa stress zenu mnafanya mambo kwa papara, CCM ina uhakika itashinda kutokana na kazi nzuri ilofanya na kwakuwa wanasera pamoja na ilani iliyoshiba.
Kura yangu kwa Magufuli
Na haitokuja kutokea maana mpaka sasa ulipanzi hauko strong ,wenyew kwa wenyew wanagombana[emoji23][emoji23]
Just imagine siku zimebak chache kuelekea kwenye kampeni alafu mrafaruku unatokea kati yao, mnawaweka sehem gani wapiga kura,
Me nawaombea waendelee kugombana hivyo hivyo mpk siku ya...
Bakini na mawazo mgando hivy hivyo, hamjui kwamba anty li ni mbaguzi, alishasema hatokuja kukaa na kufikiria kuwapeleka watoto waze shule za kata tena kwa kejeli, sio hiyo tu anadharau mpaka lugha yetu ya Kiswahili, lakini pia hana huruma na wa Tanzania kwani ni mtu alokuwa akihubiri sana...
Kusema hivyo sio ubaguzi, kwani tumeona Maeneo mengi ambayo unaupinzani na kapeleka huduma za jamii, mfano mzuri Kilimanjaro ambapo upinzani umesheni ingawa sasa hivi majimbo yote CCM tunayachukuwa, kapeleka miradi.
Nani kama Magufuli, Tarehe 28 kura yangu kwa #Magufuli.
Hahaha ndo maan me sina imani na upinzani ni waongooo...sijapata kuona, wanajikanyaga wenyewe...
Mimi kura yangu itaenda kwa Magufuli wabunge na Madiwani wa CCM maana ndo naona wanamchango kwa Taifa letu la Tanzania,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.