Tutashituka kwa sababu sisi ni binadam ,lakin maandiko yanasema tuonapo mambo kama hayo yanatukia basi tujue kwamba ule mwisho umekaribia na hizo ndo ishara zake!Mungu atusaidie sana sisi waja wake!
Mungu akusaidie mpendwa,akupe Hekima,maarifa,akili ya kuishi naye,kingine uwe unamuombea kwa Mungu kwani kwenye mafanikio shetan huleta vipingamiz mrad ushindwe na safari ya kuingia kwenye ndoa yako,Mungu akutangulie!
ni kawaida kwa binadam kuapa kutorudia kitu ambacho kimewasababishia maumivu,especially kwenye mapenzi yaliyosababisha maumivu,lakin c ajabu mtu huyo huyo kupenda tena sababu ni binadam wala c malaika,so ma friend worry out about loving again,Mungu amekuandalia mwenzi wa maisha ambaye atakupenda...
mke/mume mwema hutoka kwa Mungu maana urith tunapewa na wazaz lakin mke/mume ni Mungu hutupatia!unaweza kukutana na mwenzi wako mahali popote pale ambapo Mungu anapakubali!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.