Recent content by luclinahstine

  1. L

    Angalia picha yamtu aliyepatwa na ebola: Hatari sana.

    Amina.!Mungu Wa huruma na atuhurumie!ila umenifuraisha neno "kiranga"
  2. L

    Wapenzi waliokutana jf na kubahatika kufunga ndoa /walioanza michakato ya ndoa

    u are right siande,kama mtu una nia njema Mungu anakuonngoza na kukuepushia mabaya!!!
  3. L

    Ni yupi MKE anayefaa: Mfanyakazi au asiye na kazi (golikipa)?

    Oa mwanamke utakayempenda,zaid mshirikshe Mungu coz ye atakupa mwangaza!
  4. L

    Mwanamke mla nyama za watu huyu hapa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

    duu!ila inatisha,may God help us!
  5. L

    Mwanamke mla nyama za watu huyu hapa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

    Tutashituka kwa sababu sisi ni binadam ,lakin maandiko yanasema tuonapo mambo kama hayo yanatukia basi tujue kwamba ule mwisho umekaribia na hizo ndo ishara zake!Mungu atusaidie sana sisi waja wake!
  6. L

    Nampenda Sanaa Ila Simuoi Sio Wife Material!!!!!! Mhhhhhh! Hayaaaaaaa!

    shaur yako mchagua naz mwisho hupata koroma na mchagua jembe si mkulima!
  7. L

    Nampenda sana ila nahisi ananitesa.

    Mungu akusaidie mpendwa,akupe Hekima,maarifa,akili ya kuishi naye,kingine uwe unamuombea kwa Mungu kwani kwenye mafanikio shetan huleta vipingamiz mrad ushindwe na safari ya kuingia kwenye ndoa yako,Mungu akutangulie!
  8. L

    Sijui nitatokaje hapa

    ni kawaida kwa binadam kuapa kutorudia kitu ambacho kimewasababishia maumivu,especially kwenye mapenzi yaliyosababisha maumivu,lakin c ajabu mtu huyo huyo kupenda tena sababu ni binadam wala c malaika,so ma friend worry out about loving again,Mungu amekuandalia mwenzi wa maisha ambaye atakupenda...
  9. L

    Hivi inakuwaje mtu unakuja kutafuta mchumba JF?

    mke/mume mwema hutoka kwa Mungu maana urith tunapewa na wazaz lakin mke/mume ni Mungu hutupatia!unaweza kukutana na mwenzi wako mahali popote pale ambapo Mungu anapakubali!
  10. L

    baada ya kumchumbia ameanza kuniogopa

    ni kawaida na it depend na mlivyoanza courtship coz kama mngeanza kwa kushiriki kila kitu basi asingekuwa anakuonea haya!
Back
Top Bottom