Kuna mdada tulikubaliana kuwa marafiki vikanishindaga mapema tu
Mambo ya kuwa na buyu la asali alafu usichovye ...mateso gan hayo bora ujue moja utambae
Tunasikitika kukupoteza mwanachama mwenzetu ww ulitegemewa kuwa nguzo imara ndani ya chama.
Wanachama wachache kama nyie pasipo kufuata utaratibu mmeleta sifa mbaya kwa CHAZETA
Mimi kama katibu ningependa kukujulisha julisha kuwa mitongozo yetu ni salama, yenye ustadi, yenye uhakika wa mafanikio na yenye kufuata hatua zote za ubora wa utongozaji kama ilivyoainishwa na viwango vya ubora duniani.
Chama Cha Madomo Zege Tanzania (CHAZETA) kinawaasa wanachama kuwa watulivu kusubiri kauli ya chama juu ya upotoshaji huu.
Ahsanteni
Katibu Mkuu Taifa
CHAZETA
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.