Big up mtoa mada, kwa maoni yangu nikamba watoto waliofaulu four wapelekwe kozi ya ufundi walau mwaka mmoja kisha miezi 6 jkt, wakimaliza ndipo waingie university, pasiwepo advance level.
Viongozi wa kiswahili walio wengi hatakama wamesoma, hawako smart katika muda na kuheshimu ratiba, ndio maana kila siku wanasafiri kama wanafukuzwa na majambazi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.