Ukisikiliza kwa makini maneno haya kweli utatokwa na machozi na mtu wa mwenye hekima atakayaunga mkono yatia majonzi na hasa ukikumbuka maisha ya ndg zetu kijijini ccm Mungu atawaadhibu siku si nyingi
acha waende maana kama majaji na mwanasheria mkuu wa serikali kashaamua yatakuwa kama yale ya Mama wa Ubungo anakata rufaa halafu anaingia mitini aibu wasubirie mwaka 2015 hapa watapoteza muda wao bahati nzuri leo niliwaona akina mama fulani wamevalia wavazi ya kijani mbona ilikuwa aibu sana
Kama dar asubuhi kila mmoja alikuwa akiongelea habari hii ya Kamanda Lema na bahati mbaya kuna wanachama wa CDM walichelewa kwenye foleni wakafika tayari rufaa ilishasomwa zamani tu watu leo stori ilikuwa itakuwaje kama kawaida ccm wakatuma maji washa mabomu na askari wa kumwaga kesho sijui...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.