Recent content by Luali

  1. Luali

    Mahusiano ya kidiplomasia kati ya Tanzania na Israel

    Ndio maana nikakwambia kwamba huna elimu kuhusu Israel, kuna mengi huyajui ila unapayuka kama umepigwa mjeledi, uwapo na hekima ni rahisi kufunzwa na kujifunza jambo, ila ujifanyapo mjuaji huenda ikakugharimu, ninachoweza kukwambia ni kwamba kuna ushahidi lukuki kuhusu Sept 11 na kuna...
  2. Luali

    Mahusiano ya kidiplomasia kati ya Tanzania na Israel

    Nadhani huwafahamu vizuri Wa-Israeli, unahitaji kuisaka elimu juu ya Israel na hasara waliyoitia dunia na mauaji waliyosababisha hapa duniani ikiwepo 9/11.....
  3. Luali

    Mahusiano ya kidiplomasia kati ya Tanzania na Israel

    Uhusiano mzuri kwako ni upi?
  4. Luali

    Mahusiano ya kidiplomasia kati ya Tanzania na Israel

    https://www.youtube.com/watch?v=FAU_e0819KQ
  5. Luali

    Mahusiano ya kidiplomasia kati ya Tanzania na Israel

    Nilikuwa sifahamu ila nimepitia baadhi ya taarifa kwenye mitandao na TV Programs kuhusiana na uhusiano wa Tanzania na Israel, serikali ya Tanzania imeshindwa kuzingatia sera ya Nyerere iliyokuwa ikiambatana na sera ya Mandela kwenye Apartheid. Nyerere alionyesha nia kubwa ya kuisaidia serikali...
  6. Luali

    Unaridhika na namna ya Mh. Kikwete anavyojibu maswali?

    Nimesikiliza hotuba nyingi za Mh. Rais na hata maswali anayoulizwa na nimegundua namna yake ya kujibu maswali ya wananchi hairidhishi, kwa maana nyengine hujibu bila kuheshimu swali kwa taadhima na kuligeuza swali kama jepesi jepesi na kujibu anavyoamua bila kuzingatia kufanya hivyo kunatupa...
  7. Luali

    Kwa nini majibu ya Rais Kikwete yako vague/hayaridhishi?

    Nimesikiliza hotuba nyingi za Mh. Rais na hata maswali anayoulizwa na nimegundua namna yake ya kujibu maswali ya wananchi hairidhishi, kwa maana nyengine hujibu bila kuheshimu swali kwa taadhima na kuligeuza swali kama jepesi jepesi na kujibu anavyoamua bila kuzingatia kufanya hivyo kunatupa...
  8. Luali

    Pembe za ndovu?

    Kabisa bro, ila baada ya comment yako usitembee usiku tafadhali, tusije tukakukosa!
  9. Luali

    Pembe za ndovu?

    Inawezekana uko right kabisa, ila angalia kucha hizo!
  10. Luali

    Pembe za ndovu?

    Kama wanaongea Kiswahili wanakaribishwa, si unajua nchi yetu haina ubaguzi wa rangi na ni somo halijawaingia watanzania kiasi cha kuwa wabaguzi wa rangi.
  11. Luali

    Pembe za ndovu?

    Kinana ndio nani bro, mbona simfahamu?
  12. Luali

    Pembe za ndovu?

    Mimi najiuliza tu ; hivi hizi pembe za ndovu zinapokamatwa zinapelekwa wapi? Na kama huwa zinauzwa mbona mapato yake hayako wazi kwa wananchi? Na naona kama wakikamata hata tani 1 ndio wanazitumia kulemaza umma kujua serikali inawajibika saaaana kumbe tani kibao hazikamatwi. Wewe una maoni gani?
  13. Luali

    Natafuta mlimbwende!

    Mi nashangaa natafute jike inakuja midume....
  14. Luali

    Natafuta mlimbwende!

    Anafaa sio...ama wale wale
  15. Luali

    Natafuta mlimbwende!

    Safi, ila sikuoni sio! Dondoka basi inbox....
Back
Top Bottom