Huyu mtu alilogwa na baba yake mzazi ili aharibikiwe kabisa kimaisha na ikibidi afe kabisa,ila Mungu akalinda uhai wake, lakini kimaisha/kiuchumi ameharibikiwa sana .Alipoteza kazi nzuri,marafiki wazuri wote,uwezo aliokuwa nao kabla,heshima pamoja na upendo.
Hali hii imemkuta tangu mwaka 2004...