Walishawatumia ujumbe PM kwao na leo wanawakabidhi zawadi. Ila kiuhalisia wanakosea sana waweke wazi hapa kuwa Uzi ulioshinda ni huu na zilizoingia 20 bora ni hizi. Kukiwa na uwazi hakuna shida ila kama wanafanya kwa kificho kuna walakini
Habari za wakati huu watanzania wenzangu.
Kuna makala niliweka humu juu ya uandaji wa mbolea ya samadi ya maji kwa ajili ya matumizi ya bustani na shamba kiujumla. Kulingana na watu walionitafuta kuhitaji kujua zaidi na mrejesho ninaoupata kwa walioanza kutumia hakika ninapata faraja kubwa...
Mbolea hii inafanya vizuri sana. Tena kama watu wakiwa na umoja wanaweza tengeneza pamoja wakagawana.
Lengo ni kuhakikisha tusishindwe kuzalisha vyakula kutokana na gharama kubwa sana pembejeo za kilimo
Kilimo tangu nyakati za uhuru mpaka leo hii ndiyo sekta pekee inayoajiri asilimia kubwa ya watanzania. Inakadiriwa kuwa zaidi ya 60% ya watanzania wamejiajiri au kuajiriwa katika sekta ya kilimo. Na kilimo imekuwa mhimili mkubwa wa maisha ya kila siku ya watanzania wengi. Pamoja na kuwa kilimo...
Wakuu habari za muda huu.
Naombeni kufahamu Sheria inasemaje kwa mtu anayetaka kurudi kwenye Utumishi wa umma baada ya kuacha au kuachishwa kazi ? Taratibu zipoje?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.