Pest Consult ni Kampuni iliyosajiriwa nchini Tanzania na kuruhusiwa kutoa huduma ya Fumigation/Kudhibiti Visumbufu (Pests) na Magugu. Huduma zetu ni bora na zinatolewa kwa misingi ya kisayansi na wataalam waliobobea na wenye uzoefu wa kutosha.
Ofisi zetu zipo eneo la Mianzini jijini Arusha na...
Pest Consult ni Kampuni iliyosajiriwa nchini Tanzania na kuruhusiwa kutoa huduma ya Fumigation/Kudhibiti Visumbufu (Pests). Kampuni yetu inauzoefu wa kutosha na huduma zetu zinatolewa Kwa misingi ya kisayansi. Tunawakaribisha wote wenye changamoto na mnaosumbuliwa na Mende, Panya, Kunguni...
Jamaa yupo kimkakati Ila changamoto anayokumbana nayo ni kukosa ushawishi kwenye Jamii.
Kwa anachokiandikaga humu jamvini hata hao anaowasifia wanamwona Hana Haiba ya Uongozi anaoutafuta Kwa nguvu zote.
Kama kuna changamoto kubwa Nchini basi ni kuwa na watu wengi wasiojielewa.
Unataka kusema tufiche ukweli Ili kusiwe na lockdown? Au Ili twende makazini??
Ndugu unajiona mfanyakazi Bora Kwa vile Corona virus hajakutight. Akikutight vizuri hiyo kazi hutoikumbuka na wala hutokumbuka kama umeajiriwa.
Sio tu tamaa ya Fedha Bali Kwa uoga wa kujiajiri. Hao ndio think tanks wa Taifa. Nonsense kabisa.
Wanataka kuaminisha umma kuwa hakuna Tatizo la Covid 19?? Wao wamepata wapi takwimu za kumpinga mwenzao aliyetoa takwimu hata kama sio accurate kivile?
Hawa ndio Mzee Mkapa alikuwa anawaita...
You are very right. Kuna factors nyingi zinazosababisha sehem uione nzuri au mbaya. Factors nyingine zinasababishwa na wewe mkazi wa Nchi husika. Kama umeenda kwa watu unataka ufanye uhalifu for sure Nchi za watu utaziona mbaya Mana wamejipanga.
So kwa wewe mwenye ajira mkononi. Better uende...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.