Uzito wa haya mambo mazito ni uzito mkubwa. Magu katumia neno "kwa kanuni zetu...", Lusinde katumia neno " kwa kanuni zetu....", Samia naye katumia neno "kwa kanuni zetu". Cha ajabu wote watatu wamefanya matendo tofauti. Hizo kanuni wanazosema zao zitakuwa na shida.
Kwenye movie ya Yesu, kuna jamaa alikuwa na mapepo mengi. Alipomuona Yesu akaleta mbwembwe, basi Yesu akamzingua kiaina, alafu akamuuliza, "unaitwa nani...?". Akajibu, "Ninaitwa Jeshiii...". Pengi jeshi alilomaanisha ndio hili tuonalo picha zake.
Je, hapo ofisini kwenu hakuna mtu kaja na kazi ya meta analysis mkazingua? Nilete ushahidi? Je, hakuna mtu hapo ofisini kwenu kawaletea kazi pure qualitative mkashindwa hata kujua software tu ya kufanyia analysis? Nilete ushahidi? Je, hakuna mtu hapo ofisini kwenu kaja na kazi inayohitaji...
Hawa jamaa ni wezi. Ninawajua vizuri, hakuna wanachojua juu ya research. Nimefanya research juu yao pasipo wao kutambua. Nilichopata ni kwamba hakuna wanachojua juu ya research. Jichanganye uliwe.
Kuna Manka mmoja, anajiita 'Manka Paving', kila nikiwa namdinya, mdinyo ukikolea anaanza kulia kimahaba huku akisema 'baby una shilingi ngapi bank?". Sijawahi kumjibu, huwa nikimaliza tu navaa suruali, nasepa.
Nilikuwanayo mawili. Siku moja nikachukua moja Mwanza to Songea, kijiji fulani kinaitwa Mpepai. Nilitoka Mkuyuni, Mwanza saa 2:00 asubuhi, saa 7:07 mchana, siku hiyohiyo nilikuwa Mpepai Songea sometimes iko Mbinga. Wakati naondoka Mkuyuni pale watu walikuwa wamekusanyika barabarani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.