Recent content by Love Nuru

  1. Love Nuru

    GE2025 KIGWEA: Tulipewa TSH. 20,000 ili tuonekane tumejivua CHAUMMA kutoka CHADEMA

    Wameongea kinyume. Hiki wanachokifanya hapa ndio kimewapatia hiyo elfu 20.
  2. Love Nuru

    GE2025 Watu Wasitengeneze Videos! Ukweli Ni Huu - Samia Alipogoma Kutoka ukumbini

    Uzito wa haya mambo mazito ni uzito mkubwa. Magu katumia neno "kwa kanuni zetu...", Lusinde katumia neno " kwa kanuni zetu....", Samia naye katumia neno "kwa kanuni zetu". Cha ajabu wote watatu wamefanya matendo tofauti. Hizo kanuni wanazosema zao zitakuwa na shida.
  3. Love Nuru

    Rais Dkt Samia Suluhu Hassan alivyopokelewa na gwaride la jeshi la Umoja wa visiwa vya Comoro

    Kwenye movie ya Yesu, kuna jamaa alikuwa na mapepo mengi. Alipomuona Yesu akaleta mbwembwe, basi Yesu akamzingua kiaina, alafu akamuuliza, "unaitwa nani...?". Akajibu, "Ninaitwa Jeshiii...". Pengi jeshi alilomaanisha ndio hili tuonalo picha zake.
  4. Love Nuru

    KERO NSSF Morogoro (Ofisi ya Madai mtandaoni) shughulikieni APPROVAL za wateja wenu

    Mimi ni muhanga wa jambo hili. Nimekwama hapohapo tangu March. Majibu yao ni hayohayo kama wanayokujibu wewe.
  5. Love Nuru

    Research Support Services

    Je, hapo ofisini kwenu hakuna mtu kaja na kazi ya meta analysis mkazingua? Nilete ushahidi? Je, hakuna mtu hapo ofisini kwenu kawaletea kazi pure qualitative mkashindwa hata kujua software tu ya kufanyia analysis? Nilete ushahidi? Je, hakuna mtu hapo ofisini kwenu kaja na kazi inayohitaji...
  6. Love Nuru

    Research Support Services

    Nimekupa dondoo za awali tu hizo. Watafute kwa uhakika zaidi.
  7. Love Nuru

    Research Support Services

    Hawa jamaa ni wezi. Ninawajua vizuri, hakuna wanachojua juu ya research. Nimefanya research juu yao pasipo wao kutambua. Nilichopata ni kwamba hakuna wanachojua juu ya research. Jichanganye uliwe.
  8. Love Nuru

    Ukikutana na mwanamke wa kichagga anaitwa MANKA kimbiaaaa mkuu wangu.

    Kuna Manka mmoja, anajiita 'Manka Paving', kila nikiwa namdinya, mdinyo ukikolea anaanza kulia kimahaba huku akisema 'baby una shilingi ngapi bank?". Sijawahi kumjibu, huwa nikimaliza tu navaa suruali, nasepa.
  9. Love Nuru

    Je, Kuna sheikh yoyote mwenye masters au phd kama ilivyo kwa maaskofu wengi?

    Pale MUM tulikuwa tunafundishwa na walimu wa Grade A, alafu tunalazimishwa kuwaita Dr.
  10. Love Nuru

    Haya Madude naweza kuyapata Mwanza?

    Matrafiki nilikuwa nawapa hela ya kubrashia viatu, wananiachia niendelee na speed matata.
  11. Love Nuru

    Haya Madude naweza kuyapata Mwanza?

    Nilikuwanayo mawili. Siku moja nikachukua moja Mwanza to Songea, kijiji fulani kinaitwa Mpepai. Nilitoka Mkuyuni, Mwanza saa 2:00 asubuhi, saa 7:07 mchana, siku hiyohiyo nilikuwa Mpepai Songea sometimes iko Mbinga. Wakati naondoka Mkuyuni pale watu walikuwa wamekusanyika barabarani...
  12. Love Nuru

    Wale mnaowashambulia viongozi wetu mitandaoni Angalieni alichopost Elon Musk Tajiri Namba Moja Duniani

    Nahisi kama uwezo wa ku bridge ulichokiona na unachotaka kusema ndio huna. Sidhani kama kuna mtu kakuelewa mkuu.
Back
Top Bottom