Kweli Hon. Zitto. Pia, nafikiri hio inaweza kua reference nzuri ya baadaye kama litatokea tena tatizo kama hili, lakini hawa vichwa panzi magoigoi wasiposema uchochezi, hii ngoma ya corona ilikua ni kuikwepa sababu imekuja kama ngumi nzito kwenye masumbwi, daah nchi yangu.
swala zima nikurusha ngumi idf wanapiga popote wale scout wa revolutionary guards Iraq,syria, na kwengineko lakini lini revolutionary guards kawapiga idf direct yani unapigwa then wewe unapiga kwa kujificha kwa mgongo wa Hezbollah dooh! nyie endeleeni tu kuwapiga civilians vita ni miaka 200...
lakini nyie wapambe wa iran mbona mnagongwa na kugongeka daily lakini hamrushi hata ngumi tujue kua mpo hai vitisho vingi eti mnamiliki makombora yatumieni kwanza siku ikitokea direct war na Israel ataziharibu siraha zenu huko huko iran waulizeni mashemeji zenu apo middle east 6 days war kichapo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.