Recent content by lostid

  1. L

    Perfumes za ukweli kutoka uturuki Bei poa

    Hello.. Wale wapenzi wa kunukia vizuri karibuni kujipatia perfume nzuri na classic kutoka uturuki kwa bei sawa na bure. Tunazo za jumla na rejareja ila hapa nitawawekea bei za rejareja ukihitaji jumla nicheki PM. Zipo nyingi hizi ni baadhi tu. Hapo chini zipo za elf5 elf18 elf40 kwa zile za...
  2. L

    Wauza smartphone tukutane hapa

    Tecno spark4 elf 95
  3. L

    Phone4Sale Tecno spark4 inauzwa

    Iko vizuri kasoro hizo cracks ambazo bado hazina madhara yoyote touch inafanya kazi vizuri. 95000 top.
  4. L

    Fursa ya biashara kwa wenye mitaji kuanzia 50,000

    Pole kwa kawaida mzigo ukichelewa sana ni miezi miwili sawa na siku 60 toka mzigo unapoanza safari sio toka unapolipia order yako. So anakuagizoa lazima akujuze siku ambayo amepeleka mzigo kwa ajili ya kuanza safari. Ila kwa mwaka mzima hunapata mzigo basi hapo hesabu maumivu
  5. L

    Fursa ya biashara kwa wenye mitaji kuanzia 50,000

    Hello guys kwa wenye interest pls nichek WhatsApp nikuonyeshe order za bidhaa tulizonazo kwa sasa ukiwa interested nazo ndo utoe oda. Hatuchukui oda ya kila kitu kwa wakati mmoja kwa mfano utakuta mwingine anataka raba za kiume mwingine anataka vyombo mwingine nguo za watoto inakuwa ngumu...
  6. L

    Fursa ya biashara kwa wenye mitaji kuanzia 50,000

    Tuna ofisi mkuu tupo hapo karibia mwaka sasa unaweza kufika muda wowote kwetu uaminifu ndo kipaumbele
  7. L

    Fursa ya biashara kwa wenye mitaji kuanzia 50,000

    Usafiri ni makadirio kuanzia 1,000 -5000 kwa kila bidhaa kutokana na uzitowa bidhaa unayoagiza
  8. L

    Fursa ya biashara kwa wenye mitaji kuanzia 50,000

    Mkoani unaagiza kama kawaida mzigo ukifika Dar unatumiwa hata wateja wetu wengi ni wa mikoani wameamua kutumia fursa
  9. L

    Fursa ya biashara kwa wenye mitaji kuanzia 50,000

    Habari wakuu Tunakuagizia bidhaa kutoka China kwa bei nafuu sana ya kiwandani na wewe utatulipa commission kidogo pindi mzigo wako ukifika. Ofisi zetu zipo kigamboni big brother. Au unaweza kutupigia kwa namba +255656667359 au WhatsApp +255656667359 Wale wa mikoani fursa hiyo changamkeni...
  10. L

    Kiwanja keko madawa kinauzwa

    Sold
  11. L

    Natafuta kazi halali ya usiku, nipo Dar es Salaam

    [emoji16][emoji16][emoji16]
  12. L

    INAUZWA Vinauzwa vyote 180

    Kianda 50 Sofa 50 Meza imeshachukuliwa Vyote ni mkataba
  13. L

    INAUZWA Vinauzwa vyote 180

    Kimara mkuu
  14. L

    INAUZWA Vinauzwa vyote 180

    Pm mkuu tuyajenge
  15. L

    INAUZWA Vinauzwa vyote 180

    Dar kimara
Back
Top Bottom