kunalo tatizo la kimsingi ktk muungano uliopo,manake umekaa ktk mfumo wa "changu changu, chako chetu". Cha znz ni chao,lakini cha tanganyika ni cha wote!sijui kwa nn watanganyika hawalioni hili
Lakini pia ifahamike kwamba wanaoamua mfumo gani utawale ktk maisha yao ya kila siku ni wananchi wenyewe.Sasa ktk hili wananchi wameshaamua kuendesha mambo yao ktk mfumo wa serikali tatu kama walivyowasilisha maoni yao kwa tume.Ia kushangaza ni wajumbe kusahau wajibu wao na kukosoa maoni ya...
nadhani wanaotetea srikali 2 wameshindwa kuonyesha waziwazi mantiki yake.hata hivyo inashangaza hilo bunge la katiba kujadili muungano bila kuwa na rejea muhimu mezani.msingi wa muungano wetu unapatikana ktk hati ya makubaliano baina ya nyerere na karume(articles of union).Hati hiyo iwekwe mzani...
anadhani anatufahamu vilivyo kwa sabab kuna wanyarwanda wengi wamejipenyeza kwy system yetu hadi kwy vyombo nyeti km jw,polisi,tiss ikulu yenyewe nk.nadhan ni muda muafaka kuanza kuchunguzana na kuchukuliana hatua stahiki
kuna haja serikali kutoa budget ya kutosha kwa jeshi la polisi ili litimize majukumu yake vzr.kiukweli ni kwamba majambazi hayo yameanza kurudi baada ya gari la mzinga la polisi kuondolewa ktk doria kwy maeneo hayo baada ya kushindwa kuendelea na doria hizo sababu ya ukosefu wa mafuta.wakati...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.