Recent content by Lorenzo chuwa

  1. L

    Natafuta ajira za viwandani

    Natumaini mko salama ningependelea kwa yeyote mwenye connection au ushauri wa kiwanda gani naweza kupata ajira haijalishi ni ya muda mfupi au laa. Nitafanya kazi yeyote itakayokuwepo japo sina professional yeyote niliishia tu kidato cha nne. Nipo dar es salaam Mawasiliano:+255 743 424 506
  2. L

    Biashara ya Stationery: Ushauri, Vifaa, Gharama na Mbinu za Uendeshaji

    Sawa ni kichomi lakini mimi nataka kuwekeza zaidi kwenye application.
  3. L

    Biashara ya Stationery: Ushauri, Vifaa, Gharama na Mbinu za Uendeshaji

    Naomba msaada ndugu naomba ninataka kufungua stationary ndo malengo yangu nilikuwa naomba estimation ya makadirio kwamba atleast natakiwa kuwa na shingapi kuanzisha stationary kwa Sar es Salaam.
Back
Top Bottom