Recent content by lordboy

  1. L

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi, nina Bachelor ya HR 2014 na Masters ya HR 2022

    kwel bro, pesa ni mambo mengi sana
  2. L

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi, nina Bachelor ya HR 2014 na Masters ya HR 2022

    faida ni kufungua lako mwenyewe, napambana ipo siku ntaweka goli, bro sasa hv nina pumzi kidogo ila siku nimepost hii kitu kaka huwez amini nilikua kwenye hali mbaya sana, Nimeona umuhimu wa ku share jambo na watu hata ushauri tu huwa unasaidia sana na kutia moyo mno
  3. L

    JamiiForums Tanzania 80% ya wazee wetu walishindwa kujitafuta na kujipata

    daaaah hii inaumiza sana
  4. L

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi, nina Bachelor ya HR 2014 na Masters ya HR 2022

    nilishafanya kazi kwenye restaurant kadhaa na bar kadhaa, nimeshapika sana pizza na bbq mkuu, hata kitimoto niko fit lakini kuna kukata tamaa flani iliniingia na kukatishwa tamaa pia
  5. L

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi, nina Bachelor ya HR 2014 na Masters ya HR 2022

    nilifanya sana hizo na ndio nilipata ka mtaji wa kufungua hostel, ila juzi kati nimekutana na neema kidogo naona hali si mbaya. Tatizo ni kuzungukana, biashara za partnership huku kwetu ni changamoto sana, ukim link mtu na mgeni ndio mwisho wa ww kuwa na uhusinao na huyo mgeni kwa maneno atakayo...
  6. L

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi, nina Bachelor ya HR 2014 na Masters ya HR 2022

    sijakata tamaa kabisa nimekutana na mdau mmoja tunaanza tena kusogea mbele, bado nina imani
  7. L

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi, nina Bachelor ya HR 2014 na Masters ya HR 2022

    hakika kaka
  8. L

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi, nina Bachelor ya HR 2014 na Masters ya HR 2022

    daaaaah inategemea na ni nini unataka kwa sababu kuna mengine bora kukosa kazi
  9. L

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi, nina Bachelor ya HR 2014 na Masters ya HR 2022

    Bach ilikua Tumaini university na master’s ni Uhasibu arusha. Magu alituweka kwa ahadi kibao za ajira baadae akatumwaga kama unakumbuka alisema amesha apisha ma ofisa wa kutosha na hana mpango wa ajira tena, baada ya mwezi tukatolewa op magu wote japo wengine wenye mibuyu mizito walibaki na...
  10. L

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi, nina Bachelor ya HR 2014 na Masters ya HR 2022

    kwel mkuu nimekosea hapo, kichwa hakikua sawa kabisa
  11. L

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi, nina Bachelor ya HR 2014 na Masters ya HR 2022

    ni kwel bro japo ni nilipata namna mtu akani support so haikua option
  12. L

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi, nina Bachelor ya HR 2014 na Masters ya HR 2022

    kusoma bro kwa sasa nime gove up sana
  13. L

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi, nina Bachelor ya HR 2014 na Masters ya HR 2022

    kweli kabisa bro
  14. L

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi, nina Bachelor ya HR 2014 na Masters ya HR 2022

    0758253322
  15. L

    JamiiForums Tanzania Mwanaume jitambue kuwa huna msaada

    Kweli bro
Back
Top Bottom